DOKEZO Tabora kuna raia wa nchi jirani wanauzia watu Makaa ya mawe feki

DOKEZO Tabora kuna raia wa nchi jirani wanauzia watu Makaa ya mawe feki

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Huku Tabora kuna watu wanajitambulisha kuwa ni Warwanda na wanapaspoti za Rwanda wanauza hayo madongo kwenye picha wakidanganya watu kuwa ni makaa ya mawe.

Wanauza hayo madongo Matano kwa Tsh 5,000, mamlaka ziwafuatilie kwa haraka.

1770649878459.jpeg

 
Huku Tabora kuna watu wanajitambulisha kuwa ni Warwanda na wanapaspoti za Rwanda wanauza hayo madongo kwenye picha wakidanganya watu kuwa ni makaa ya mawe.

Wanauza hayo madongo Matano kwa Tsh 5,000, mamlaka ziwafuatilie kwa haraka.

Halafu watu wema ndio wanakamatwa na kupotezwa
 
Huku Tabora kuna watu wanajitambulisha kuwa ni Warwanda na wanapaspoti za Rwanda wanauza hayo madongo kwenye picha wakidanganya watu kuwa ni makaa ya mawe.

Wanauza hayo madongo Matano kwa Tsh 5,000, mamlaka ziwafuatilie kwa haraka.

Watu wakipikia yanawaka? Wacha watengeneze pesa mkuu nchi lenyewe linaongozwa na andazi!
 
Siyo fake bali ni yale yametengenezwa kwaajili ya matumiz ya nyumban ndo maana yanawaka na raia wananunua, makaa ya mawe bila kuyafanya hivyo likiwaka huna sufuria wala jiko
 
Back
Top Bottom