Frankman ni godown la vifaa vya ujenzi...Mimi niko Tabora
Hotel nzuri ni frankman
Pia ipo hotel nzuri kabisa olion
Nenda Belmonte...pale pametulia sana.Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
unae pesa sana au? za 30 na 15 siyo hadhi yako au?Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.
Thank you
Labda ufikie kwenye jumba la spika sita.
Umewaza kama mimi!Niloposoma tu ID yako nimekosa hata cha kuchangia