Tabora hoteli gani nzuri ya five star?

Tabora hoteli gani nzuri ya five star?

Hotel ya five star Tabora??????
Jamani twende sawa. Hivi kwa Dar Hotel za Nyota5 ni zipi. Nijuavyo ni chache sana hata 10-20 kama zinafika ni bahati. Ukienda Arusha zipo lakin nazo ni chache labda 5-10! Ukienda Mbeya, Dodoma, Mtwara, Morogoro, Tanga, Moshi, Iringa, Songea, Mara, Kigoma, sidhan kama kuna nyota5 labda nyota 3 na 4 angalau tena kwa kuhesabu.
Hivyo nyota 5 siyo mchezo.

Mwanza kwenyewe kama zipo ni chache mno, tena waweza kukuta kwa level za Kimataifa hamna kabisa
 
kuna Oreon na tabora hotel..kulikuwa na Bendi moja tamu sana
 
Jamani twende sawa. Hivi kwa Dar Hotel za Nyota5 ni zipi. Nijuavyo ni chache sana hata 10-20 kama zinafika ni bahati. Ukienda Arusha zipo lakin nazo ni chache labda 5-10! Ukienda Mbeya, Dodoma, Mtwara, Morogoro, Tanga, Moshi, Iringa, Songea, Mara, Kigoma, sidhan kama kuna nyota5 labda nyota 3 na 4 angalau tena kwa kuhesabu.
Hivyo nyota 5 siyo mchezo.

Mwanza kwenyewe kama zipo ni chache mno, tena waweza kukuta kwa level za Kimataifa hamna kabisa
Dar hakuna Nyota tano
 
Olion ndo ka hotel kidoogo kenye maana kwa Tabora, twingine ni tu lodge
olion ya kizamani sana , vyumba vichafuu sema ni jirani na chuo cha uwazili hivyo uhakika wa kupata totoz upo
 
Kuna mikoa ukiitaja unaweza ukajua ipo Malawi au Afrika ya Kati jinsi ilivyosahaulika Kimaendeleo.

Sidhani kama kuna hoteli ya nyota tano huko!!
Tatizo wanapakimbia kwao hawapataki.wanakimbilia arusha na dar
 
Tabora huwezi pata hoteli ya hadhi ya nyota 5 mkuu. Am sure this is some kind of a nice joke. Tabora nilifika kwa mara ya mwisho mwaka 2013.

Sina uhakika kama kuna mabadiliko makubwa yaliyotokea. Nashauri ukakae Orion Tabora Hotel. Kwa level ya Tabora hapo sio pabaya. Wasisitizie tu kuwa una allergy na dust. Back then (sijui kama mpaka sasa) room zao walikuwa wameziweka carpet na huwa zinakuwa dusty sana. Pana club hapo hapo pia ambayo naona iko descent.

Kila la kheri...naweza niku-escort pia kama utahitaji. ha ha ha
 
Ha ha haaa Asanteni wote kwa comments
Labda nilishindwa kujieleza kwa namna mkoa ulivyo sikutaka sehemu ya chini ya elfu 50 nlitaka sehemu yeny hadhi
Anyway Watsup apa kunabamba Live Band
Karibuni..ww unaehic natafuta mchepuko njoo nikununulie pombe
 
Jamani twende sawa. Hivi kwa Dar Hotel za Nyota5 ni zipi. Nijuavyo ni chache sana hata 10-20 kama zinafika ni bahati. Ukienda Arusha zipo lakin nazo ni chache labda 5-10! Ukienda Mbeya, Dodoma, Mtwara, Morogoro, Tanga, Moshi, Iringa, Songea, Mara, Kigoma, sidhan kama kuna nyota5 labda nyota 3 na 4 angalau tena kwa kuhesabu.
Hivyo nyota 5 siyo mchezo.

Mwanza kwenyewe kama zipo ni chache mno, tena waweza kukuta kwa level za Kimataifa hamna kabisa

Nijuavyo 5 star unaweza zipata Arusha na Dar pekee kwa Tanzania sina uhakika na Mwanza, na hata Kwa Arusha ni kama moja au mbili tu,
 
Hata kama nilisoma Tabora cku nyingi nadhani Olion itakuwa ndio bado nzuri kupita zote. The way to train station au Kazima secondary.
 
Njoo pande za milambo high xul huku utapata huduma zoooote
 
Nakuja Tabora kikazi hoteli gani nzuri 5* sehemu nzuri za kula na clubs nzuri
zote ziwe na hadhi please sio za elfu 30 au 15.

Thank you
Ujawahi lalaaa ya 3* 4* ukalale 5* ??hahaaa sio sinza
 
Back
Top Bottom