Google mkuu mbona mnapenda vitu laini laini, au na google ni fisadi
Dr yupi?
- Dr Banna
- Dr.........
- Dr Mrema
- Dr Magufuli
Unaongea nini wewe...?
Dr yupi?
Unaongea nini wewe...?
- Dr Banna
- Dr.........
- Dr Mrema
- Dr Magufuli
mpendwa,
mimi si mwanachama wa chadema wala si mwanasiasa, ninachangia tu mawazo hapa na kujifunza kutoka kwa wengine, kwa hiyo usinijumlishe humo pamoja na wenye chama chao.
nijuavyo mimi, waziri kivuli hana nguvu za kisheria za kiutendaji na hana hata bajeti wala fungu lolote. ni mbunge wa kawaida tu na ile kuitwa kivuli ni kama watch dog rasmi (japo kila mwakilishi ni watch dog kwa serilkali). nadhani wapo kama wasemaji rasmi wa kisekta tu wa kamabi ya upinzani ka mujibu wa kanuni za bunge. pia kama ujuavyo uchache wao pamoja na spika wa bunge kuwa kinyume chao, kunawafanya hata wakiwa na hoja muhimu kutupiliwa mabli kirahisi.
siamini kama wameshindwaa kuiwajibisha serikali. angalia kwa mfano suala la muswada wa katiba mpya, au hata kujivua magamba kwa chama tawala wiki ilyopita. utaona wana mafanikio mengi sana na hata serikali na cham wanajua. japo bado iko madarakani lakini inajua kuwa kuna wath dogs na ina-respond kwa hiyo inayoitwa nguvu ya umma. kama unafuatilia siasa za kwingineko duniani utagunduoa ccm inaheshimu sana changamoto za chadema na inajua kuwa ikishindwa kukabiliana nazo siku moja itanyang'anywa madaraka ya kuongoza serikali na bunge
Unahangaika bure. Hata katika hiyo orodha ulioanzisha -- Jk ni lazima aongoze!! Lazima!!!!!
Kwa hiyo mnadeclare kwamba mmeshindwa kuiwajibisha serikali?
Any way, hao mawaziri vivuli wana kazi gani hasa? maana ilikuwa mbinde nikadhani wanagombania kuonyesha uwajibikaji na ufanisi wao (kama sio kupata title na posho za vikao) - wanajua fika hawaiwezi serikali.
Nani kutangaza list of shame- kwa uzinzi
1. Slaa
2..
Hawa mafisadi wetu tu,wakianza ya anga sie tunaanza vya majini ama vya ardhini..wamechelewa,watabaaaana lakini ni lazima tuwatanue na tuwapige gori la kiutu uzima
Dr yupi?
- Dr Banna
- Dr.........
- Dr Mrema
- Dr Magufuli[/ jamani hizo taarifa ni sahihi kabisa, takwimu hizidanganyi. Ukitaka kupima uhalisia wa haya angalia hata mvuto wa hotuba zake umekwisha.Dr.Slaa zilipendwa!.
Ikiwa ni takriban miezi sita tangu uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, umaarufu wa DR umeshuka kwa asilimia 60% hii ni kwa mujibu wa shirika binafsi linalo jishughuliza na tafiti mbali mbali nchini hapa la clybase foundation, habari zaidi tembelea tovuti yao.
Google mkuu mbona mnapenda vitu laini laini, au na google ni fisadi
Sasa asingesema ungejuaje kuwa kuna ufisadi huo?Usahalifu au uwezo mdogo wa kufikiri?Kwani EPA ilianzeje?Hayo magamba ya CCM nayo yalianzaje?
Ni vigumu kwa kichwa cha elimu ya watu wazima kuelewa anachoongea genious kama Dkt Slaa
Slaa is just another thug
Slaa is just another thug
Hatupo kwenye yalianzaje, suala ni tunafanya nini kutokea hapa kwa manufaa ya leo na kesho.
Ni mjinga tu ndiye anayeweza kuona alichoongea leo Dr. Slaa kina uweledi wa kisomi!!
Ni mjinga tu ndiye anayeweza kuona alichoongea leo Dr. Slaa kina uweledi wa kisomi!!
sasa tutajie list mpya basi.