<br />
<font face="Calibri"><font size="3">SAMAHANI SIJAWEZA KUIHARIRI ILA HAYO NDIO YANAENDELEA .NTAWAJUZA ZAIDI.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">PROF.SAFARI.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasema kuwa ni wakati wa kudai nyumba za serikali kwa nguvu ya umma , kwani kwenda mahakamani sio muafaka kwani hata majaji wenyewe walijiuzia hivyo hawawezi kutoa haki.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Zidaiwe kwa nguvu ya umma ndio njia pekee ya kupata nyumba hizo kwani viongozi wengi wanakaa hotelini.</font></font><br />
<br />
<font face="Calibri"><font size="3">Udini.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Wakoloni waliwagawa watu kwa njia za makabila ili wawatawale ,wakagawa watu kwa njia za udini mf.waingereza waliingiza dini na kjuweka watu wao serikalini , na waislamu wengi walikosa nafasi ya kusoma ndio maana hawakuingia serikalini mapema .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Waislamu walipigania uhuru ila , kutokana na waingereza kuwabagua , ndio maana waliamua kupinga ukoloni ili waweza kuweka serikali ambayo haiwabagui, anasema ugomvi wa Nyerere na shehe takadir kuhusu waislamu kubaguliwa , na anasema kuwa ndani ya CDM hakuna udini ila ndani ya nchi kuna tatizo la kihistoria la kidini.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasema kuwa ni mbinu ya serikali kuwagawa watanzania ili waweze kuwatawala .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Alipojitoa CUF na kujiunga na CDM alifuatwa na mashehe wakimwambia kuwa yeye ameamua kujiunga na wakristo , yeye akajibu kuwa walitaka yeye aende kwenye chama gani? Mbona CCM sio ya waislamu kwani ukiondoka JK wengi waliopo serikalini ni </font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasema yeye hajabatizwa na pia Slaa sio yohana mbatizaji na amewataka waislamu kuungana pamoja ili kupigania haki za waislamu kwani CCM ndio ambao wanawakandamiza waislamu hivyo ni bora wakajiunga na CDM kwa wingi ili waweze kudai haki zao tangu awali na wasisubiri , waingie cdm tangu mwanzo ili wawe sehemu ya kupigania haki zao na njia nzuri ni kuhakikisha nkuwa wanajiunga ili kuingiza hoja zao kabla ya cdm kuingia serikalini na ni lazima waislamu wakitaka madai yao yasikilizwe wanapaswa kuingia sasa na sio wawasusie cdm kwa hoja za udini halafu baadae waje walalamike .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kuna haja ya kujiunga na cdm sasa.</font></font><br />
<br />
<font face="Calibri"><font size="3">MARANDO.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Ameanza kwa kusema Slaa alishinda ila kura zilichakachuliwa na hivyo ndio maana Slaa ameamua kuingia kazini rasmi kujenga chama ili kiwe imara na kuweza kujiandaa na uchaguzi ujao .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasedma yeye ataongelea mambo matatu.(KATIBA , EPA , NA MAGAMBA YA CCM).</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">KATIBA .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Hii ilikuwa hoja ya CDM kwani iliyopo inawafanya mafisadi watamalaki, katiba ni maji, ni unga ni kila kitu ambacho kipo , ukishaweka katiba mengine yote yanawezekana .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasema JK alishauriwa na watu kuhusu katiba , ila aliweza kjuipata muswada wa sheria kutokana na taaluma yake ya kishushu aliupata mapema na kuisambaza a kwani jk hakuwa tayari kupata katiba .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Amewataka watanzania kuwa macho kwani nia ya ccm ni kuendelea na katiba iliyopo na sio kweli kjuwa wanataka katiba mpya.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Tofauti ya CCM na CDM kwenye katiba ni kuwa CCM wanataka iliyopo iwekwe viraka , na CDM wanataka mpya .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Cdm wanataka mambo yafuatayo kwenhye katiba mpya.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font face="Calibri"><font size="3">1.</font></font> </font><font face="Calibri"><font size="3">Kupunguza madaraka ya rais haswa ktk kuteua watu mbalimbali.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font face="Calibri"><font size="3">2.</font></font> </font><font face="Calibri"><font size="3">Viongozi wa wilaya wapigiwe kura na sio kuteuliwa na rais
..</font></font><br />
<font face="Calibri"><font face="Calibri"><font size="3">3.</font></font> </font><font face="Calibri"><font size="3">Madini yalindwe na katiba </font></font><br />
<font face="Calibri"><font face="Calibri"><font size="3">4.</font></font> </font><font face="Calibri"><font size="3">Power of recall kwa wabunge na madiwani</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kuhusu EPA na magamba ya CCM.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Ccm ndio gamba la watanzania na tunapaswa kuliondoa hilo gamba ccm na sio wao waondoane wenyewe</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Ccm ndio gamba lenyewe na linapaswa kuondolewa moja kwa moja</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Lissu amewafundishwa wabunge sheria .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Epa ni ya jk kwani ndio ilimuingiza madarakani.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kikwete amesamehe wezi wa EPA wakati wezi wanapaswa kupelekwa jela .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Slaa alipotaja mafisadi ccm walisema ni uongo kuwa hakuna mafisadi , jk juzi kakiri kuwa kuna mafisadi wengi ndani ya chama na walitaja listi yao ya mafisadi , lowass,change na rostam.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Jk sio jasiri na hana ubavu wa kuweza kupambana na mafisadi wa ndani ya chama chake kwani hawezi kuchukua hatua .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Jk alishindwa hata kujua mafisadi dowans.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kagoda .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kuna visamaki vidogo vimeshitakiwa ila kagoda hawajapelekwa mahakamani ,rais alisema hawajui wahusika wa Kagoda ,</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kemhondo willium ni jina la bandia John Kato mwajiriwa Caspian</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Francis wilium jina bandia Bharati goda na ni mwajiriwa caspian </font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Aliweka majeshi yake kwa siku tatu na majina halisi ni haya;</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Na jk kama hawajui aende ofisini kwake atampa mpaka picha </font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Kama jk anataka atume watu ofisini kwake ili waende kuchukua picha .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Anasema yuko tayari kama jk akimtaka kujitolea apewe jalada la kagoda na atawafikisha mahakamani na wataishia keko.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Wengine kagoda ni malecela na Mangula .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Cdm tulimuita safari ili aje aweze kutueleza ni jinsi gani tunaweza kiutatua matatizo ya waislamu na pindi tukiingia madarakani tutakuwa tayari kuzitekelezaz kwani ccm kwa miaka 60 wameshindwa kutatua matataizo hayo.</font></font><br />
<br />
<br />
<font face="Calibri"><font size="3">DR.SLAA.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Ameanza kwa kuwataka maasikari kuacha siasa na haswa jana walipoamua kuzuia maandamano kwa madai kuwa hali ya nchi ni tete , amewataka polisi kuacha kufanya siasa.hiyo hali wameipima hospitali gani mpaka kujua hali ni tete , na pia pesa zimeibiwa ndani ya jeshi la polisi na hata mdhibiti mkuu amesema uozo wa polisi.</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Sababu ya pili waliyotoa polisi kuwa hoja yetu ya maandamano imefutwa na serikali ,hiyo sio kazi ya polisi kusema kuwa maandamano yamevunjwa .</font></font><br />
<font face="Calibri"><font size="3">Polisi kuweni na uchungu na nchi hii kwani mama, baba , watoto wenu wanaumia sana kutokana na ufisadi wan chi hii, pia usalama wa taifa wanapaswa sasa kuamka na kulinda masilahi ya taifa na sio kulinda masilahi ya vio