Hakuna jina jipya, hebu tupe feedback wa nani aliyefilisiwa baada ya kutajwa fisadi? Lowassa kapelekwa mahakamani, Chenge je, Karamagi, Meghji, Sumaye - tena huyu kageuka kuwa mlaani ufisadi, lolestiest.
Kama CHADEMA walishawataja hawa mvua kadhaa zilizopita kwa nini wanarudia kuwataja - tena hata wakifanya hivyo kwa matarumbeta na brass band - sirikali haiwezi wapeleka mahakamani na wanajua hilo.
Je ndio kusema CHADEMA wameishiwa hawana mawazi mapya pamoja kuwa na vijana wengi - if Lissu is also kijana.
@ Jasusi - nawaomba CHADEMA waandae sera, mipango, mikakati na malengo mbadala kuhusu uboreshaji wa maisha ya Mtanzania. Kama wamejaa hapa mbona wamekurupuka kwenda Tabora na kurudia mambo ambayo ni 'so over'.