Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
Jamani hakika nimeshindwa hata kuamini!!.. post ya mwana jf inayo eleza yaliyo jiri tabora inaonyesha John malecela ni miungoni mwa mafisadi wa EPA na John magufuli ni FISADI wa nyumba za serekali sasa kama hawa naliokuwa wanaheshimiwa na jamii nao ni MAFISADI nani aliebaki ndani ya ccm alie msafi?
 
Wa jf kama member nimejitahid kuwajuza kadri nilivyoweza kwa kuzingatia uhuru wa maoni nawa aga mpaka kipindi kijacho,chao .

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date : 29th November 2010
Posts : 41



Yani kama kuna mtaakotimuliwa kazi bila ujira ni wewe. Umetumwa, ukapewa hadidu za rejea, ume-achieve none,
kwanza kwa muda uliokuwa JF na idadi ya post zako inaonekana hukuwa kazini, ulikuwa wapi? Tizama kina Kupeng'e, Mjepu wako mbali kikazi, hata aliyeaga juzi Majimshindo aliwakilisha vizuri.
Wewe ni gamba la mafisadi, huhitajiki. ila pole kwa kupoteza ujira. Karibu tutpiganie maendeleo ya ukweli.
 
Hakuna jina jipya, hebu tupe feedback wa nani aliyefilisiwa baada ya kutajwa fisadi? Lowassa kapelekwa mahakamani, Chenge je, Karamagi, Meghji, Sumaye - tena huyu kageuka kuwa mlaani ufisadi, lolestiest.

Kama CHADEMA walishawataja hawa mvua kadhaa zilizopita kwa nini wanarudia kuwataja - tena hata wakifanya hivyo kwa matarumbeta na brass band - sirikali haiwezi wapeleka mahakamani na wanajua hilo.

Je ndio kusema CHADEMA wameishiwa hawana mawazi mapya pamoja kuwa na vijana wengi - if Lissu is also kijana.

@ Jasusi - nawaomba CHADEMA waandae sera, mipango, mikakati na malengo mbadala kuhusu uboreshaji wa maisha ya Mtanzania. Kama wamejaa hapa mbona wamekurupuka kwenda Tabora na kurudia mambo ambayo ni 'so over'.

hayo mambo ya hapo penye bold, nadhai kwenye kampeni za 2010 waliyafafanua vya kutosha, ulisoma chapisho lao la ilani?
 
Hii list ipelekwe moja kwa moja dodoma kama kikwete hana. Kikwete anatafuta immunity yake dodoma kama Mkapa alivyofanya ili wahakikishe hawaendi jela kamwe. Hizi siasa za wizi na kudanganyana zitawafikisha wapi wakina kikwete na mkapa? Maybe waangalie news hii kama walimiss wakiwa dodoma.

Mubarak could face execution, Judge | Ya Libnan | World News Live from Lebanon

"Zakaria Shalash, head of the Cairo''s Appeal''s Court was quoted by official al-Ahram newspaper as saying that Mubarak may face execution after a trial, if he is found guilty of ordering killings of protesters during the January popular uprising"

Hii news kwa January Makamba, Kinana, Riwadhi na Watoto wa mafisadi, soma hapa.
Mubarak and sons detained in Egypt - Middle East - Al Jazeera English

"Mubarak's sons Gamal and Alaa were driven away in a police van with drawn curtains as an angry crowd of 2,000 people pelted the car with water bottles, stones and their flip-flops, a sign of disrespect in the Arab world"
 
Niko natazama TBC1 yaani Nape ni boga kabisa huyu dogo....
 
hayo mambo ya hapo penye bold, nadhai kwenye kampeni za 2010 waliyafafanua vya kutosha, ulisoma chapisho lao la ilani?

Kufafanua hakutoshi, kinachotakiwa ni utekelezaji. Wametekeleza lipi toka uchanguzi umalizike? au wanasubiri tena uchaguzi ndio waanze kukremisha watu mapambio?
 
Haya watoe vitisho vyao tena vya kumtaka Dr Slaa afute kauli yake au watamfungulia mashtaka mahakamani kwa kuharibu reputation zao.
 
Jamani hakika nimeshindwa hata kuamini!!.. post ya mwana jf inayo eleza yaliyo jiri tabora inaonyesha John malecela ni miungoni mwa mafisadi wa EPA na John magufuli ni FISADI wa nyumba za serekali sasa kama hawa naliokuwa wanaheshimiwa na jamii nao ni MAFISADI nani aliebaki ndani ya ccm alie msafi?

Ebu soma hapa-

Watu walishaanza kujadili magufuli ingawa sijui kama ni za kweli


 
CCM wakishindwa kuwashughulikia basi tutatumia nguvu ya umma kuwasagasaga hao mafisadi maana wameshatuumiza vyakutosha, tumevumilia maumivu vya kutosha na sasa uvumilivu basi tena. Nia yetu moja imebaki nayo ni kuondoa minyororo ya utumwa tuliyofungwa na CCM kwa muda mrefu. CHADEMA motomoto hadi kieleweke.
 
Dr. Slaa badala ya kueleza ufisadi uliopo nyuma ya hizo dola 1.5 Million za mabango yeye anamtaka JK aeleze huku akitambua fika kuwa JK hatasema chochote kuhusu hilo, huku ni kuwachezea akili ya wananchi.

.

Karata ndugu yangu.
JK anatakiwa akosee mahesabu amfikishe W.P. Slaa (PhD ya ukweli) mahakamani, huko ndo kitaanikwa.
Hebu tembelea jukwaa la sheria ukaelimishwe ABCs.
 
Si alisema anatoa list mpya... mbona hii ni ilele ya wakati ulee??
 
kama ni mafisadi ieleweke kuwa ni mafisadi viongozi wa chadema awakurupuki
 
Karata ndugu yangu.
JK anatakiwa akosee mahesabu amfikishe W.P. Slaa (PhD ya ukweli) mahakamani, huko ndo kitaanikwa.
Hebu tembelea jukwaa la sheria ukaelimishwe ABCs.

na nina uhakika hawezi kufanya hii mistake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom