Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Nape ajue CCM bila Mwl.J.K.N haiwezi,watabisha,watagangangamala,watajivua mpaka nguo lakini hawataweza tena..katu ccm haipo tena,
binafsi nikishukuru kwa dhati kabisa chama chetu CDM kwa kusikia wito wetu wanachama kuja Tabora,tunaomba wafanye kweli mpaka wilaya mbovu kabisa ya SIKONGE,...VIVA CHADEMA,VIVA TABORA!
binafsi nikishukuru kwa dhati kabisa chama chetu CDM kwa kusikia wito wetu wanachama kuja Tabora,tunaomba wafanye kweli mpaka wilaya mbovu kabisa ya SIKONGE,...VIVA CHADEMA,VIVA TABORA!