Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
mpaka sasa mh. dokta slaa......ametaja wangapi...baba jose waandike tu hapa...hilo ndilo kubwa nalitaka.........umemtaja magufuli wengine ni kina nani
 
hivi kitufe cha thanks bado kiko garage? matengenezo yake yamechukua mda mrefu sana....
 
na mimi nimeweka mikono juu hata kama nipo kwa obama muda huu.
 
Yaani bado hajataja tu jamani? nipo kwenye kijiwe cha gahawa nasubiriwa mimi niwasomee watu hapa, nimekusanya wazee kwa vijana
 
Hoja zote za ufisadi anasema zitaludi uwanja umewaka moto,huwez amini ka uliza waliochoka kuibiwa na ufisadi wanyoshe mikono hadi polic kanyosha mkono,nimechoka

bwa haha hahahahah ha!!! nimecheka hadi basi
 
Hivi Tabor HAMNA Network au network ya kusuasua hamna 3G so huenda GPRS inasumbua ila have that experience maana nilishakaa pale kwa mida kadha na nilikuwa nasumbua; ila pls jitahidini tupate update ya huko jamani
Wakuu napita maeneo ya CCM Lumumba kuna sherehe ya kukaribisha viongozi wapya wa chama na mwenyekiti na makamu wake wapo ila naona nimemsikia msemaji mmoja sijamfahamu anasema walisema hatuwezi tumeweza na sasa chadema watupe kazi! Kwasasa anaongea msekwa.ccm wanaomba kazi chadema! Waanze na ya tabora
 
Ndo imefka mwisho au?

MAFISADI WAPYA HADI SASA NI ;
  1. John Kato mwajiriwa Caspian (KAGODA).
  2. Bharati Goda ni mwajiriwa caspian (KAGODA).
  3. John Samweli Malecela EPA
  4. Philip Mangula  EPA
  5. John Magufuli  nyumba za Serikali.
 
shauri yako watu watajua umebeba bomu
Wakuu nasikia tena kwa mbali sauti kama ya nape anasema kuna watu wamefukuzwa dodoma wamepanga kushirikiana na baadhi ya vyama na leo wako tabora kumchafua mwenyekiti wa ccm na familia yake! Eti sasa watawafukuza kwa nguvu! Kumekucha wakuu,kuna vita nahisi vya aina yake!
 
Ahsante sana kwa kutaja mafisadi.

Tatizo letu kubwa ni kuishi kwenye lindi la umaskini, maradhi na idadi ya wajinga kuongezeka. Je huku kutaja mafisadi kutaboreshaje maisha ya Mtanzania?
 

MAFISADI WAPYA HADI SASA NI ;
  1. John Kato mwajiriwa Caspian (KAGODA).
  2. Bharati Goda ni mwajiriwa caspian (KAGODA).
  3. John Samweli Malecela –EPA
  4. Philip Mangula – EPA
  5. John Magufuli – nyumba za Serikali.
kuna ndugu yangu yuko NEW YORK CITY leo ataua watu humu ndani
 
Kuna mdau kaposti hii:


MAFISADI WAPYA HADI SASA NI ;
  1. John Kato mwajiriwa Caspian (KAGODA).
  2. Bharati Goda ni mwajiriwa caspian (KAGODA).
  3. John Samweli Malecela –EPA
  4. Philip Mangula – EPA
  5. John Magufuli – nyumba za Serikali.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom