Hehehehe navo penda sifa sasa umekuja, Kuna mtu anaitwa David Bernoulli miaka ya 1700s aligundua kwamba fluids,Gas, air na object zikiwa kwenye speed kubwa pressure kwenye hyo fluid,Gas ,air na hyo object inapungua kulingana na speed yenyew,....sasa twende kwenye issue yako kwann watu wanaganda😎😎😁,huyo mtu akiwa jirani na treni pale pressure ya hewa kati ya treni na huyo mtu inapungua sana kulingana na speed ya train sasa ile hewa ambayo Iko nyuma ya yule mtu nyenyewe inakuwa kubwa kuliko ile ambayo Iko kati ya train na mtu,so hyo pressure ndo inamsukuma huyo mtu kuelekea kwenye train,kumbuka pressure huwa inatoka kwenye high kwenda kwenye low😎😎,..
Nakuongeza ukijenga jiko halafu ukaweka lile bomba la kutolea moshi juu,hata ukiliweka mbali na sehemu ya moto,moshi lazima utafata lile bomba lilipo ndipo utoke nje😁😁😁,yote hyo ni ktu kimoja kinaendeshwa na Bernoulli principles.....
So
High flow=low pressure
Low flow=high pressure
Ukitaka formula nayo naweza nikakumiminia ndugu mwanafunzi😁😁