BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,346
- 6,855
Kila kitu kikienda kombo mnasema bangiHili niliweke sawa
Bodaboda wengi au asilimia 90 ni kuanzia form 4 kushuka chini Hadi la kwanza, tena sio hivo tu kati ya hao asilimia 100 ni wale watukutu shulen na wavuta bangi na wasela mavi
Sasa watu wa aina hiyo ni rahisi sana kukutoa roho maana wana undugu na Israel mtoa roho
Ushaur ukifika kijiweni tafuta bodaboda angalau mweny cheti cha kumaliza form 4 nje ya hapo umeweka maisha yako rehani
Bodaboda wenye kijitambua ni wale walifel lakn walikua sio watukutu sasa kiwatambua ndo kaz lakn wenye chet cha kidato cha nne kidogo kuwajua ni rahis japo napo usalama wako ni 50/50
kwani ganja ndo kipimo chenu cha ujinga wowote?
kwanini isiwe pombe au uzembe?