Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

Brazil ataondolewa kwenye makundi
Gana atavuka round ya kwanza
Ureno watacheza nusu fainal
Ujerumani watasuasua lakini watacheza fainal
Brazil hatoki round ya kwanza hata kwa greda. Hii imekaa kisiasa zaidi. Fuatilia mivutano inayoendelea sasa hivi huko Brazil kuhusu kombe la dunia utaelewa.
 
Utabiri wangu ni timu utakayochukua kombe ni timu isiyopewa nafasi kabisa na itatoka amerika ya kusini,wala sio brazil.
 
Brazir Atavuka Makundi Lakin Hafikimbali
belgij Anafika Nusu Fainal Ikitokea Ghana Kavuka Makund Bac Anafika Nusu Final.mess Na Neymer Watang'aa Kuliko Ronaldo
 
Timu zinazotegemewa kushinda zitakuwa zinapigwa mabao kama Spain


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Brazir Atavuka Makundi Lakin Hafikimbali
belgij Anafika Nusu Fainal Ikitokea Ghana Kavuka Makund Bac Anafika Nusu Final.mess Na Neymer Watang'aa Kuliko Ronaldo

Hapa umeongea ukweli mtupu, nakubaliana kabisa na wewe.
 
Zanzibar watavuka hatua ya makundi,
uingereza watachukua ubingwa
 
Wakuu ambao hamjalala mnaotazama mtanange huu,si vibaya kila mtu akachangia anavyoona nan ataibuka mshINd ,mim ninatabir watoto wa malikia wataondoka kifua mbele,na wewe utabir wako useme hapa
 
Back
Top Bottom