Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

Tabiri matukio magumu kutokea world cup 2014

Italy wako fiti kwa makaunta ataki. Sasa naona wana nafasi ya kuwabanjua inglandi ni kubwa

Pia wakamiliki mpira vizuri,hata muvu zao noma.

I think ze nxt goal litakua la kaunta ataki na litafungwa na hawa Mafia wa blue
 
Africa kutoa bingwa,mwaka huu tutavunja recod nyingi
 
Uholanzi,Ujerumani,Italia na Brazil wataingia Nusu Fainali
 
Back
Top Bottom