Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

Hukuchukua contact....
ama ndo vile domo kilo tatu...
Ilikua ni safar ya offer tu nimepewa FOC Wakat nataka kuomba no mzee wake akapand kweny gar akawa anamkabidh kibahasha flan anaongea nae muda huo huo nikaja kuambiwa hii siyo sit yako nikahamishwa pale nikapelekwa sit yangu
 
Tusipangiane maisha bwana, wewe vipi?
Wewe ndio unawapangia maisha kwa tabia zako, Nadhani chochote mtu unachofanya kama hakina madhara kwa mwingine basi hakuna mwenye haki ya kukupangia...., ila kama kina madhara nadhani hio definition ya kukosa ustaarabu
 
Ilikua ni safar ya offer tu nimepewa FOC Wakat nataka kuomba no mzee wake akapand kweny gar akawa anamkabidh kibahasha flan anaongea nae muda huo huo nikaja kuambiwa hii siyo sit yako nikahamishwa pale nikapelekwa sit yangu
Ok mkuu nimekupata...
nikajua ulichezea bahati...
 
Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Unajaribu bahati kama kubet.Katika safari za kikazi nilikuwa nasafiri na mwenzangu na jamaa yangu tunakaa siti moja.Kuna siku nikakosa bahati kulikuwa na dada mmoja mzuri Sana Kwa umbo na Sura alikuwa ameketi siti ya tatu mbele yetu.Kuanzia siku hiyo nikamwambia jamaa yangu tukisafiri tukae viti tofauti🤣😂
 
Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Duh yaani acha tu mkuu inabidi uvumilie tu na unakuta dogo anakupenda balaa muda wote anakuongelesha
 
Haha noma sana...

Angalia ndugu/ rafiki aliyepata mtoto hivi karibuni ukachukue experience hata kwa weekend moja. Ukisubiri wako utachelewa kujua na kuzoea vingi

Hahahah rafiki zangu hakuna mwenye ratiba ya kuwa na mtoto

Ngoja niangalie kwa ndugu labda nijaribu
 
Bila kusahau wale kina mama wanaosafiri na watoto wawili huku wamekata seat moja

Nilishawahi kujikuta dada msaidizi wa mtoto mwanzo hadi mwisho wa safari,yaaani kale kadogo nimekashikilia mimi,kale kengine kadada mtu kameshikwa na mama yake

Mbaya zaidi kale katoto kalinipenda na kunizoea mapema sana,kila muda dada hivi dada vile mara kanilishe vitu kanavyopewa na mama yake

Sio kwa ubaya,lakini ni usumbufu...kama una watoto wadogo wawili jitahidi kuweka seat mbili aseee

Siku hizi namuagiza anayenikatia ticket ahakikishe nakaa na mkaka
Naamini ipo siku tutakaa wote
 
Hahaha! Watoto wanasumbua sana huwa najaribu kuwaignore siwaangalii usoni lakini wapi ndio kwanza wanaanza kunivuta masikio. Wakiambiwa "muache anko" wanaanza kulia

Watoto huwa wananidominate sana.
Utakuwa na funny face
 
Mimi nishawah panda bus siti yangu pemben kulikua na mmama pamoja na mtoto wa kama miez Saba HIV
Sasa yule mtoto kwanza alinikaribisha kwa kilio kikali Kama kile Cha watoto wa nguru, tulipiga masafa marefu tukiendelea kuskiliza mlio wa yule mtoto

Baadae akanyamaza kikaingia kikwazo kingine,,,, alivobanwa na mkojo akawa anaonesha ishara za kutaka kukojoa Sasa yule mama yake ujinga aliokua anaufanya ndo ulikua unanikera Sana,. Alikua anampa kanga yule mtoto na anamwambia haya kojoa yaani alikua anaikojolea Ile kanga halaf anaendelea kuipakata ...Ile kanga ilikojolewa Mara nying Sana Jambo lililopelekea harufu kwenye eneo tulilokaa kubadilika na kuwa sio salama Tena




Tukio lingine hili mnisamehe tu kwaa kulichomekea

Mimi nikiendaga kazin huwa sinyoagi nywele kabisa had navokua narud hom so huwaga nakuwa na kale kamuonekano ka matajiri wakinga au wabena

Kuna safar nilikosa ndege nnayoipenda Ivo ikabidi nipande fly Dubai, Kama unavojua Tena Ile ndege kwa wadada wengi wanaopanda wanakuwaga ni mabeki tatu na kawaida ya Hiv viumbe Mara nyingi huwa vinatokea uswahilini na kwao ndege ni big deal

Hiyo siku nilikaa siti moja na beki tatu mmoja alikua ndo anarud bongo, jaman hakuna siku nilinyanyapaliwa Kama Ile siku yaan nilitaman mle ndan kuwepo na saloon nipunguze nywele.

Yule dada alikua ananiona Kama kichaa iv.
Tulivofika zenji watu wengi walishuka so kulikua na siti nyingine zipo wazi, nikajitosa kwenda kukaa siti moja na mzungu(mdada) Yan tulivokua tunapiga stori unaweza kusema tumewah kuonana sehem na hakuwa na nyodo yyte

All in all wadada sometimes wanakosaga bahati kwa fikra zao potofu japo yule beki tatu hakunivutia kwa chochote Ila kunidharau na wakat nimemzd vitu vngi hyo kitu iliniuma sana
Mkuu ndio nimejua leo kuwa matajiri wakinga huwa hawanyoi nywele,na kwa jinsi ninavyowaona kariakoo kama kuna ukweli fulani hivi
 
Hapo kwenye AC tusameane kwakweli,

Hata mimi sipendi Air con. Kuna siku nilisafiri na bus mordern coast linatoka Mombasa wamejaa waarabu bus lote linanukia marashi. Ilibidi Nilifungue dirisha japo konda alikua anamind
 
Kuna wale matumbo mpakile, yakipita mahindi ya kuchoma twende, ya kuchemsha twende, mayai twende, sijui biscuit mpaka inakua kero though pesa ni zao.

Let's meet at the top, cheers
...tens mbaya zaidi we we upon kiti cha dirishani yeye yupo kiti cha Upande was ndani!...kila kituo anakutuma were ndio Uwe na Kazi ya kukutuma umnunulie hiki ama kile. Wanaudhi....
 
Waha, Wasukuma, Wamasai na Wanyakyusa haya makabila ni wasumbufu sana safarini.

Waha ubishi ubishi, Wasukuma kula kula, Wamasai mafuta yao wanatopakaa na kuongea na simu kwa sauti, Wanawake wa kinyakyusa wanajamba sana akigeuka kajamba.
Hahaha, eti akigeukaaa......
 
Back
Top Bottom