Mimi nishawah panda bus siti yangu pemben kulikua na mmama pamoja na mtoto wa kama miez Saba HIV
Sasa yule mtoto kwanza alinikaribisha kwa kilio kikali Kama kile Cha watoto wa nguru, tulipiga masafa marefu tukiendelea kuskiliza mlio wa yule mtoto
Baadae akanyamaza kikaingia kikwazo kingine,,,, alivobanwa na mkojo akawa anaonesha ishara za kutaka kukojoa Sasa yule mama yake ujinga aliokua anaufanya ndo ulikua unanikera Sana,. Alikua anampa kanga yule mtoto na anamwambia haya kojoa yaani alikua anaikojolea Ile kanga halaf anaendelea kuipakata ...Ile kanga ilikojolewa Mara nying Sana Jambo lililopelekea harufu kwenye eneo tulilokaa kubadilika na kuwa sio salama Tena
Tukio lingine hili mnisamehe tu kwaa kulichomekea
Mimi nikiendaga kazin huwa sinyoagi nywele kabisa had navokua narud hom so huwaga nakuwa na kale kamuonekano ka matajiri wakinga au wabena
Kuna safar nilikosa ndege nnayoipenda Ivo ikabidi nipande fly Dubai, Kama unavojua Tena Ile ndege kwa wadada wengi wanaopanda wanakuwaga ni mabeki tatu na kawaida ya Hiv viumbe Mara nyingi huwa vinatokea uswahilini na kwao ndege ni big deal
Hiyo siku nilikaa siti moja na beki tatu mmoja alikua ndo anarud bongo, jaman hakuna siku nilinyanyapaliwa Kama Ile siku yaan nilitaman mle ndan kuwepo na saloon nipunguze nywele.
Yule dada alikua ananiona Kama kichaa iv.
Tulivofika zenji watu wengi walishuka so kulikua na siti nyingine zipo wazi, nikajitosa kwenda kukaa siti moja na mzungu(mdada) Yan tulivokua tunapiga stori unaweza kusema tumewah kuonana sehem na hakuwa na nyodo yyte
All in all wadada sometimes wanakosaga bahati kwa fikra zao potofu japo yule beki tatu hakunivutia kwa chochote Ila kunidharau na wakat nimemzd vitu vngi hyo kitu iliniuma sana