Sasa tapeli wa kuomba 2000- 3000 huyo ni tapeli wa aina gani mana ndo hela wanazoomba.mataperi hao
Sasa tapeli wa kuomba 2000- 3000 huyo ni tapeli wa aina gani mana ndo hela wanazoomba.mataperi hao
unafikiri anakuomba wewe peke yako? kwa siku akipata watu kumi , kwa 3000, ana bei gan? kwa mwezi?Sasa tapeli wa kuomba 2000- 3000 huyo ni tapeli wa aina gani mana ndo hela wanazoomba.
Kuna jinga moja likasema nilitumie pesa eti lijiunge bundle linaisha, eti 50,000.... Na kweli likanitumia namba
Sly queens wengi ni vichwa maji
Kuwa makini eeehHamna mchumba ni mara chache sana si unajua kukosea ni mara moja mara ya pili umejifunza
Sasa kama ndio vocha yake?Kuna jinga moja likasema nilitumie pesa eti lijiunge bundle linaisha, eti 50,000.... Na kweli likanitumia namba
Sly queens wengi ni vichwa maji
Kila mbuzi itakula kwa urefu wa kamba yakeSasa kama ndio vocha yake?
Sijui kashangaa nini..
tupe bei elekezi ya mtaaniMtoa mada papuchi zilivyojaa huku mtaani na bei imedorora kupita maelezo hadi ukimbilie Instagram utakuwa umelogwa?
wanastahajabisha kwakweliSijui kashangaa nini..
Yan huyo ndio wale wa kuacha 2k mwisho usiku waje kukuta mezani kuna unga na tembele bichi
Kwani ukimpa bundle la 5,000 unapungukiwa nini ?Wanajamvi habarini za majukumu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Hivi karibuni nilifanya utafiti wangu mdogo na katika utafiti wangu niligundua asimilia 50% au 60% ya Wadada mitandaoni wanauza papuchi. Ingawa baadhi yao ni vigumu kuwagundua kirahisi.
Picha zao zimekuwa zikivutia kweli kweli na ukiziona tu lazima kama wewe ni mwanaume lijari lazima udenda ukutoke, sasa katika utafiti huo baadhi ya mabinti ukimtongoza tu hata kama umemwambia unataka mzigo kwa dau mlilo kubaliana lakini bado atahitaji umtumie bando ili muendelee kuchat hata kama mmefikia makubaliano ya kupeana huduma. Na hili suala la kuomba bando nimelikuta kwa Wa Dada karibia wote, na mwingine ukikaidi kumtumia utaambulia block ya hatari.
Swali langu kwenu wanajamvi ni kutaka kufahamu je kuna jambo gani limejificha au wanamaanisha nini katika kuomba bando na wakati wameshafikia makubaliano na mtu.
Naomba maoni yenu wanajamvi.
Huyo anayechatishwa kuna biashara ipi anaifanya ya kumtaka alipiwe bundle ?Sasa utamchatishashe bila bando? Lipia bando wacha woga
Ni heri akate hela ya bando kwenye huduma atakayonipa sawa na VAT au TOZO wanavyofanya yaani kama akinichaji 25,000 basi hela yake ya bando ni 5,000sasa umesema 50% au 60% ni wauzaji bas hapo watakuwa wanaomba uwa-support kwenye biashara zao kumbuka ilo bando ndio analitumia kijitangaza ili awapate.
wengine wanajifanya wanaomba uwatumie hela ya kula lunch kumbe ndio gia ya kuibiwaKuna jinga moja likasema nilitumie pesa eti lijiunge bundle linaisha, eti 50,000.... Na kweli likanitumia namba
Sly queens wengi ni vichwa maji
Sahivi nishaacha si nina wewe
Hio ni sawa na ile gharama inayotozwa ya kumuona specialist kwenye baadhi ya mahospital, unaweza muona na bado tatizo lako lisipone.Ni heri akate hela ya bando kwenye huduma atakayonipa sawa na VAT au TOZO wanavyofanya yaani kama akinichaji 25,000 basi hela yake ya bando ni 5,000