Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

Wanajamvi habarini za majukumu.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Hivi karibuni nilifanya utafiti wangu mdogo na katika utafiti wangu niligundua asimilia 50% au 60% ya Wadada mitandaoni wanauza papuchi. Ingawa baadhi yao ni vigumu kuwagundua kirahisi.

Picha zao zimekuwa zikivutia kweli kweli na ukiziona tu lazima kama wewe ni mwanaume lijari lazima udenda ukutoke, sasa katika utafiti huo baadhi ya mabinti ukimtongoza tu hata kama umemwambia unataka mzigo kwa dau mlilo kubaliana lakini bado atahitaji umtumie bando ili muendelee kuchat hata kama mmefikia makubaliano ya kupeana huduma. Na hili suala la kuomba bando nimelikuta kwa Wa Dada karibia wote, na mwingine ukikaidi kumtumia utaambulia block ya hatari.

Swali langu kwenu wanajamvi ni kutaka kufahamu je kuna jambo gani limejificha au wanamaanisha nini katika kuomba bando na wakati wameshafikia makubaliano na mtu.

Naomba maoni yenu wanajamvi.
Kwani ukimpa bundle la 5,000 unapungukiwa nini ?
 
sasa umesema 50% au 60% ni wauzaji bas hapo watakuwa wanaomba uwa-support kwenye biashara zao kumbuka ilo bando ndio analitumia kijitangaza ili awapate.
Ni heri akate hela ya bando kwenye huduma atakayonipa sawa na VAT au TOZO wanavyofanya yaani kama akinichaji 25,000 basi hela yake ya bando ni 5,000
 
Kuna jinga moja likasema nilitumie pesa eti lijiunge bundle linaisha, eti 50,000.... Na kweli likanitumia namba

Sly queens wengi ni vichwa maji
wengine wanajifanya wanaomba uwatumie hela ya kula lunch kumbe ndio gia ya kuibiwa
 
Ni heri akate hela ya bando kwenye huduma atakayonipa sawa na VAT au TOZO wanavyofanya yaani kama akinichaji 25,000 basi hela yake ya bando ni 5,000
Hio ni sawa na ile gharama inayotozwa ya kumuona specialist kwenye baadhi ya mahospital, unaweza muona na bado tatizo lako lisipone.
Kwaiyo hio ya bando ni kwaajiri ya kumuona tu bado ya matibabu sasa
 
Aaaaaaaaa.....mwengine huyu hapa.
IMG-20220514-WA0029.jpg
 
Back
Top Bottom