Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 857
- 926
Wali mweupe! Kimsingi hauna jina jingine tafauti na wali!Wali wa maji ndio upi huo wajameni?🙄
Wali mweupe! Kimsingi hauna jina jingine tafauti na wali!Wali wa maji ndio upi huo wajameni?🙄
Unapikia na parachichi au linakuwa kama side fruit
Kaka wapare toAu nenda Mbaga au Kule Kisiwani utakuta vitoto vikali na mapishi vinajua
Kwamba pale unaenda kujazia tuNinachokereka kwenye harusi nyingi ni msosi kuwa mdogo. Yaani ukienda kwenye harusi lazima uwe umeshakula tayari. Ujinga mtupu. Enzi nikiwa mdogo kijijini harusi inafanyika nyumbani kwa mtu wanakijiji wote ruksa kuhudhuria. Na wote mnaridhika bila kulalamika. Hizi nyakati za ukumbini zimeharibu kila kitu.
Huku tabu huku pia tabuWaliishaacha kupika wali/pilau waka advance wakawa wanapika mikaango tu kama chipschips, ndizindizi, nyamanyama mkaango. Kachumbari/mayonaizi na matundamatunda/mbogamboga na vinywaji kama soda/juisi/maziwa ya pakti ongeza na bia kwa walevi, ila ikawa wanalalamika bila wali/pilau hawashibi vema
Wapike tu wali/pilau sambamba na madikodiko mengine walaji wapo, kwenye bufee mtu atachagua ale nini na asile nini. Kuna watu hawana aibu ya kula huwa wanabeba kila kitu kilichopo kwenye bufee mwanzo hadi mwisho hawaruki chakula mapaka sahani inakuwa mlima na mtu anaifuta yote na kwenda kuongeza tena
😂😂😅😅😅😅
Harusi zetu Sisi masikini ndio watu wanakula saana
Harusi za wenye pesa yaan wanasave kidogo saana
Kutana SASA na Sisi wasukuma kutoka Mwanza 😅😅😅
Hamada...👐🏿👐🏿👐🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿😂😂😂Huyo jamaa hapo ni kilaza ila ana uwezo mno wa kuchanganya vinywaji changamishi vikaleta matokeo chanya🤣🤣
Ukifika asubuhi unakabiziwa mandazi beseni limejaa na chai kwenye birika alafu upo peke yako
Chakula pendwa, wanaita kuufinya!Maharusi mengi tunayochangia yaani mtu ushapakia bia zako za kutosha unakuta msosi mkubwa ni pilau au wali wa maji.
Madam bila pilau na bia harusi wapi na wapi? Na bila bia watu wa vyoda hawana uwezo wa kufanya harusi ya maana 🤔Sherehe bila pilau yafaa nini
Sio chizi lilisikika puuzi mojaAlisikika chizi mmoja!
Wengine sio wanywaji wa vileo, bila pilau hatukuelewi .Madam bila pilau na bia harusi wapi na wapi? Na bila bia watu wa vyoda hawana uwezo wa kufanya harusi ya maana 🤔
Kaka wapare to
fauti na wali na kande la vipere sioni mapishi🤣
Napiga marufuku kima yeyote aje kwa harusi yangu na yako halafu hatumii vinywaji changamishi.Wengine sio wanywaji wa vileo, bila pilau hatukuelewi .
Kaka jiangalie sana ,unapotaja neno wachaga hata kwenye nyuzi zako😁😁Wachagga wanapika nini au machalari ndio mapishi 🤓🤓
Jamani, mimi sinywi hivyo vinywaji vyenu kwa hiyo itakuaje?Napiga marufuku kima yeyote aje kwa harusi yangu na yako halafu hatumii vinywaji changamishi.