Tabia ya sherehe kupikiwa pilau iachwe

Tabia ya sherehe kupikiwa pilau iachwe

Kunae harusi nilihudhuria, nilichoka vile vyakula, afu havikuiva vizuri.

Afu harusi ni ya mtoto wa mheshimiwa aliyeko mjengoni. Lol.
Wamekuweza, nasikia hukula kwako ukale vizuri kule 🤣🤣🤣
 
Sawa mkuu.

Yaan ulewe wewe utegemeee Kula kwenye harusi vizuri.

Wakati mchango wenyewe usmetusumbua saana kutoa
Ujamuelewa mleta uzi walevi na wanywa pombe wengi wali na pilau avipandi na bia au pombe zingine wao wana misosi yao kwao wingi wa chakula siyo ishu wala kushiba bali chakula kinacho landana na unywaji pombe hata kiwe kidogo kinatosha
 
Waliishaacha kupika wali/pilau waka advance wakawa wanapika mikaango tu kama chipschips, ndizindizi, nyamanyama mkaango. Kachumbari/mayonaizi na matundamatunda/mbogamboga na vinywaji kama soda/juisi/maziwa ya pakti ongeza na bia kwa walevi, ila ikawa wanalalamika bila wali/pilau hawashibi vema
Pilau wapikiwe watoto....watu wazima watafutiwe mapishi tofauti na pilau na wali ...kama pilau😁😁 ni chakula cha watoto kabisa...ninashangaaga sana kuliona jitu zima na Sinia la pilau mkononi linaenda kula
 
Umejuaje? Nilibeba na take away ya kufungasha mabaki ya vyakula. Lakini aaah
Nlichoka hatariii, 😂😂😂😂
Ulisonya, sasa ushakuwa legend wakushiba kabla ya bufee fake 🤣🤣🤣
 
Watu bado mnachangia Harusi Ili Mkale na Kunywa aisee?

Hii Hapana Mimi kwenye Harusi sana sana Ntapiga Tu vyombo kama Vipo ila the rest msosi ntatoka home Nimeshiba kabisa
Kwanza Vyakula vya Haraiki sio salama kabisa
 
Akili huna mchango unatoa wa harusi hutoi ili ukale au kunywa kula na kunywa kwenu au kwa mama nitilie au restaurant au popote

Pesa za mchango unatoa kusaidia tu shughuli yao wakikupa chakula au kinywaji sawa wasipokupa sawa sio kesi bwege wewe
Na Uzuri Ni Hiari Kuchanga,Hulazimishwi
 
Back
Top Bottom