Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,342
- 1,602
Nanyi waafrica masikini mmezidi na sherehe, mnachukua hadi mikopo kwa ajili ya sherehe, mkome.Maharusi mengi tunayochangia yaani mtu ushapakia bia zako za kutosha unakuta msosi mkubwa ni pilau au wali wa maji.