Tabia ya sherehe kupikiwa pilau iachwe

Tabia ya sherehe kupikiwa pilau iachwe

Wachagga kwenye mapishi zaidi ya kuchoma nyama huko kwingine mnaloweka au kuchemsha tuu.
Wachagga hawawezi kuwazidi Wapare kwa mapishi.
Ukishaongelea nyama na vinono vyote umemaliza kuhusu mchaga ,sasa mchaga ajue kuchemsha kande na kuunda ugali wa mhogo ili iweje.?.
 
Ukishaongelea nyama na vinono vyote umemaliza kuhusu mchaga ,sasa mchaga ajue kuchemsha kande na kuunda ugali wa mhogo ili iweje.?.

😂😂😂

Wachagga wanaficha mapungufu Yao ya kupika na kuweka manyama choma Mengi na pombe
Mwambie mchaga akuletee Pilau uone vituko
 
Kuna mtindo mpya umeibuka harusini. Ukiingia tu ukumbini kunako sherehe unakabidhiwa furushi la vinyaji na vitafunwatafunwa fulani hivi unaenda nalo kukaa nalo mezani unaanza kutafunatafuna na kunywakunywa taratibu huku sherehe ikiendelea kabla ya kwenda bufee kupakuliwa chakula kikuu huku tayari umeshiba ndii. Mwisho wa sherehe kila mtu hubeba furushi lake la vyakula. Kama unaona aibu kubeba furushi lako unampa mtu asiyona aibu kubeba furushi hilo akale nyumbani kwake na watoto wake
 
🤓🤓
Kati ya nyama na Makande niacheni Makande yangu. Kwanza hata Dr. Janabi anaeleza Hilo kisayansi
Wote tutakufa tu haijalishi hilo China ,Korea ndio inaongoza kuishi umri mrefu na wanatafuna nguruwe sisi tunaiga tu
 
Back
Top Bottom