Daah,,, watu mnawaza mbali😄😄Itakuwa lile walilokula Adam na Hawa eti
Wasiwasi wangu ni kama inaweza kuleta tatizo lolote la kiafya baadayeHii nchi ni huru mkuu. Unakula chochote unachojisikia
Chai kwa parachichi😄😄uwe unakunywa chai kwa matunda, nadhani hakuna kitu ambacho utapoteza.
Asante sana kwa kunitoa wasiwasiHata usipo kula cha moto.. haina shida.. zile zikikuwa tamaduni zisizo na tija...
Matunda ni supafood
Habari zenu wanajamvi,
Ama baada ya salamu napenda niende moja kwa moja kwenye dhumuni la andiko hili.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ninaishi Dar es Salaam.
Kuna jambo ambalo linanitatiza sana linalotokana na tabia yangu ya kupendelea zaidi kula matuda asubuhi kuliko chai, supu wala chakula kingine chochote. Ni mwaka wa 7 sasa sijui hata ladha ya chai ikoje kwani kila nikiamka asubuhi najikuta natamani kula matunda kama ndizi mbivu, machungwa, mananasi, matikiti n. K
Tabia hii ya kutokupenda kunywa chai nilianza tangu nikiwa mdogo kwani ilikuwa ikiachwa pesa ya matumizi nyumbani basi kwenye kipengele cha chai nilikuwa naiomba pesa ya vitafunwa naenda kununua matunda au vitafunwa vingine ambavyo nilikuwa nikipendelea kuvila bila ya chai.
Naomba ushauri wenu (ikiwezekana wa kitabibu) juu ya madhara au faida inayoweza kujengwa kutokana na tabia yangu hii.
NAWASILISHA
Hapana,mimi sio msabatoWewe ni msabato?
Nimekutana nao kadhaa hawanywi chai!
Kitu cha moto si chochote tu hata kama sio chai?Hongera! Utumiaji wa matunda ni bora na muhimu, natumai utakuwa mwenye ngozi angavu, kinga imara na lishe.
Pia ni vizuri endapo utatumia chai/kufungua kinywa chenye uvuguvugu/joto kuwezesha kulichangamsha tumbo na misuli iliyopoa. Pia tafiti inaonesha utumiaji wa vitu vyenye joto unaondosha hali ya kuzeeka haraka.
Nikuulize tu :- jee ngozi mwili wako ipojee ? Una ngozi kavu au ngozi yenye glossy ?Asante sana kwa kunitoa wasiwasi
Ngozi yangu ina mafuta sana, hata nikitoka kuoga huwa sipaki mafuta usoniNikuulize tu :- jee ngozi mwili wako ipojee ? Una ngozi kavu au ngozi yenye glossy ?
Sio lazima ujibu ndugu, kama unaona ni upuuzi potezea tu
Unafanya jambo zuri sana kiafya. Tulipaswa kufanya hivyo wote kwa afya zetu. Ukila matunda asubuhi wakati tumbo ni tupu unapata manufaa zaidi kiafya kama vile kuondoa sumu mwilini na kusafisha utumbo.Habari zenu wanajamvi,
Ama baada ya salamu napenda niende moja kwa moja kwenye dhumuni la andiko hili.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ninaishi Dar es Salaam.
Kuna jambo ambalo linanitatiza sana linalotokana na tabia yangu ya kupendelea zaidi kula matuda asubuhi kuliko chai, supu wala chakula kingine chochote. Ni mwaka wa 7 sasa sijui hata ladha ya chai ikoje kwani kila nikiamka asubuhi najikuta natamani kula matunda kama ndizi mbivu, machungwa, mananasi, matikiti n. K
Tabia hii ya kutokupenda kunywa chai nilianza tangu nikiwa mdogo kwani ilikuwa ikiachwa pesa ya matumizi nyumbani basi kwenye kipengele cha chai nilikuwa naiomba pesa ya vitafunwa naenda kununua matunda au vitafunwa vingine ambavyo nilikuwa nikipendelea kuvila bila ya chai.
Naomba ushauri wenu (ikiwezekana wa kitabibu) juu ya madhara au faida inayoweza kujengwa kutokana na tabia yangu hii.
NAWASILISHA
Je kama sio mnene si ndio nazidi kukonda?Unafanya jambo zuri sana kiafya. Tulipaswa kufanya hivyo wote kwa afya zetu. Ukila matunda asubuhi wakati tumbo ni tupu unapata manufaa zaidi kiafya kama vile kuondoa sumu mwilini na kusafisha utumbo.
Tena kula matunda peke yake asubuhi Husaidia kupunguza unene.
Mwanangu nakuita hivo kwa umri wako wa 27Habari zenu wanajamvi,
Ama baada ya salamu napenda niende moja kwa moja kwenye dhumuni la andiko hili.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ninaishi Dar es Salaam.
Kuna jambo ambalo linanitatiza sana linalotokana na tabia yangu ya kupendelea zaidi kula matuda asubuhi kuliko chai, supu wala chakula kingine chochote. Ni mwaka wa 7 sasa sijui hata ladha ya chai ikoje kwani kila nikiamka asubuhi najikuta natamani kula matunda kama ndizi mbivu, machungwa, mananasi, matikiti n. K
Tabia hii ya kutokupenda kunywa chai nilianza tangu nikiwa mdogo kwani ilikuwa ikiachwa pesa ya matumizi nyumbani basi kwenye kipengele cha chai nilikuwa naiomba pesa ya vitafunwa naenda kununua matunda au vitafunwa vingine ambavyo nilikuwa nikipendelea kuvila bila ya chai.
Naomba ushauri wenu (ikiwezekana wa kitabibu) juu ya madhara au faida inayoweza kujengwa kutokana na tabia yangu hii.
NAWASILISHA
Hivyo vyote vipo sawaUnahisi utofauti wowote katika mwili wako?
Mfano:-
Nguvu za Kiume
Ufanyaji kazi
Choo
Minyoo
Kulegea mwili
Kama upo Ok, basi endelea ila warm foods husaidia pia kwa mwili wako kuufanya utoe jasho na kurekebisha jotoridi la mwili