Tabia ya kupenda kula matunda asubuhi

Tabia ya kupenda kula matunda asubuhi

Ohhhhpppp.....[emoji17][emoji17]
Anyway, kwa vijana wa huo mkoa sishangai kuingiwa hofu ukikula matunda.
Mkuu, huku kwetu mimi kila asubuhi inakula ugali, kisusio, vegetables, fruit, kisha nakunywa hadi mchuzi ndipo nasubiri baada ya muda ninakunywa maji mengi.
 
Ohhhhpppp.....[emoji17][emoji17]
Anyway, kwa vijana wa huo mkoa sishangai kuingiwa hofu ukikula matunda.
Mkuu, huku kwetu mimi kila asubuhi inakula ugali, kisusio, vegetables, fruit, kisha nakunywa hadi mchuzi ndipo nasubiri baada ya muda ninakunywa maji mengi.
Tabia ya mtu binafsi inaingiliana vp na mkoa?
Mimi sijazaliwa wala kukulia dsm ila nipo kikazi tu mkuu
Na tabia hii nimeanzia mkoani kabla sijaja dsm
 
Mkuu hakuna MADHARA yeyote,,, Mimi Nina miaka mingi sijuwi chai..na nilipimwa MWILI MZIMA,,, sina TATIZO LOLOTE... Chai haina faida yeyote mwilini zaidi ya kuleta JOTO...kwangu asubuhi sio muhimu,,ni juice au matunda,,,,au kiporo ...chai BIG NO..
Habari zenu wanajamvi,

Ama baada ya salamu napenda niende moja kwa moja kwenye dhumuni la andiko hili.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ninaishi Dar es Salaam.

Kuna jambo ambalo linanitatiza sana linalotokana na tabia yangu ya kupendelea zaidi kula matuda asubuhi kuliko chai, supu wala chakula kingine chochote. Ni mwaka wa 7 sasa sijui hata ladha ya chai ikoje kwani kila nikiamka asubuhi najikuta natamani kula matunda kama ndizi mbivu, machungwa, mananasi, matikiti n. K

Tabia hii ya kutokupenda kunywa chai nilianza tangu nikiwa mdogo kwani ilikuwa ikiachwa pesa ya matumizi nyumbani basi kwenye kipengele cha chai nilikuwa naiomba pesa ya vitafunwa naenda kununua matunda au vitafunwa vingine ambavyo nilikuwa nikipendelea kuvila bila ya chai.

Naomba ushauri wenu (ikiwezekana wa kitabibu) juu ya madhara au faida inayoweza kujengwa kutokana na tabia yangu hii.

NAWASILISHA
 
Mkuu hakuna MADHARA yeyote,,, Mimi Nina miaka mingi sijuwi chai..na nilipimwa MWILI MZIMA,,, sina TATIZO LOLOTE... Chai haina faida yeyote mwilini zaidi ya kuleta JOTO...kwangu asubuhi sio muhimu,,ni juice au matunda,,,,au kiporo ...chai BIG NO..
Asante sanaaaa...!
Saizi sina hofu tena
 
Tena hao wapenda chai wanakuonea wivu mkuu,,,chai ni utumwa.....kuna WATU wasipokunywa chai wanaumwa,,tena chai Mara 4 kwa siku..asubuhi,,mchana,,jioni,,na USIKU.... Chai haina faida zaidi ya JOTO mwilini..
Hatua hiyo ni mbaya sana, maana ni ulevi sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom