Tabia ya kumtongoza mwanamke halafu anakuita kaka, rafiki na mengineyo

Tabia ya kumtongoza mwanamke halafu anakuita kaka, rafiki na mengineyo

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Ndugu zanguni,

Ukiona unamfukuzia mwanamke alafu yeye ndio kwanzaa anakazana kukuita majina yenye kuonyesha heshima flani hivi ikiwemo majina ya kuitwa Kaka sijuu rafikii...ndugu zinduka huna chako hapo.

Ni wachache sana wanakuwa na huruma ya kukufanya upate angalau tunda la uvunguni bila hivyo zinduka aisee.

Siku njema.
 
Wala Usitishike Unaweza Kuwa Unaitwa Kaka Na Mambo Mengine Yanaendelea, Inategemea Na Sababu Za Kukuita Hivyo
 
ok wameelewa hilo,naweza kuwmo au simo,ila napita tu:A S-alert1::A S-alert1:
 
Sijatongoza mda mrefu saaana hadi nimehisi kuwa kuna watu wanatongozanaga...
 
Wala Usitishike Unaweza Kuwa Unaitwa Kaka Na Mambo Mengine Yanaendelea, Inategemea Na Sababu Za Kukuita Hivyo

Kabisa mkuu, mimi baadhi ya wapenzi wangu wa sasa na wa zanani wananiita kaka na hakuna ubaya. Mwingine kwao hawana mtoto wa kiume kwa hiyo akasema anatamani awe ananiita kaka ili ajisikie kukamilika,tukaanza kuitana kakana dada kabla hata hatujawa wapenzi na tumeqchqna bado ananiita kaka na hata kunitambulisha kwa rafiki zake na ndgu zake hunitambulisha kama kaka.

Mtu kuitwa kaka hakuweki uzibe usiwe mpenzi wake nahakuhusiani na chochote kuhusu mapenzi.
 
Hiyo ina ukweli kiasi flani, Lakini kwa sisi wapendwa tunaitana kaka na Dada, lakini mgegedo kama kawa.
 
Ndugu zanguni,

Ukiona unamfukuzia mwanamke alafu yeye ndio kwanzaa anakazana kukuita majina yenye kuonyesha heshima flani hivi ikiwemo majina ya kuitwa Kaka sijuu rafikii...ndugu zinduka huna chako hapo.

Ni wachache sana wanakuwa na huruma ya kukufanya upate angalau tunda la uvunguni bila hivyo zinduka aisee.

Siku njema.
kwa hiyo hamtaki kuheshimiwa, sawa
 
Neno hilo wanalitumia zaidi pale ambapo hujatamka kuwa unamhitaji ila umeonesha kila dalili kwamba unaelekea huko,
Wajanja huwa tuna counter attack hiyo technic, wao wanaitumia kwa maksudi kuku prevent usimtongoze, na wajinga wanaingia mkenge kweli, ila kwangu mm nikiitwa kaka ndo najua nakaribia yerusalem mpya
 
Mkuu cyo wote wako hvyo,wemgine hutumia majina kama hayo ili wasijue mambo yake.
 
Hilo jina lisikutishe bana... mie nishaitwa mara kadhaa jina la Ba. Mdogo mara Uncle na wote nikawapasua kwa kwenda mbele
 
Sasa kuitwa kaka ndio unaona shida? Mbona hayo mambo ya kawaida tu, watu wanaitwa kaka na mzigo wanakula kama kawa. Ila uzinzi sio dili.

Kwa hiyo unaweza kumla hata Dada yako? maana si anakuita Kaka?

Wala Usitishike Unaweza Kuwa Unaitwa Kaka Na Mambo Mengine Yanaendelea, Inategemea Na Sababu Za Kukuita Hivyo

Hapa napo umeniacha nikiw ana maswali mengi, inamaana kuitwa Kaka hufikirii zaidi ya hapo?unaweza kusex na mdogo/Kaka yako?
 
Kama HAUNA HELA atakuita hadi baba!!
Hela kaka,ukiwa nayo yy wenyewe atakusalimia Darling za saa hizi

ha ha ha nimecheka sana nkamu...pesa iache siku hizi hata huwa sitongozi!! Nikitoa lift tu..na akifika home kwisha habari yake, simu anaanza kupiga yeye na papuchi ataleta tu!!
 
Back
Top Bottom