Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

Safi mi ni mmoja wapo sifa zote zilizokua hapo ninazo kwa Kiingereza tunaitwa Introvert
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Huyo ni Mpole tapeli au tapeli mpole
 
HAKUNA WATU WABAYA NA KUWAOGOPA KATIKA DUNIA HII KAMA WATU WAPOLE AISEEE.

HAWA WATU SIKU AKIJA KUKUBADILIKIA NDIO UTAMJUA NI MTU WA AINA GANI YAANI HAWA NI WATU WASHENZI SANA AISEEEE.

MIMI NILIKUWA NINA RAFIKI YANGU MPOLE SANA LAKINI MWISHO WA SIKU ALIKUJA KUNITAPELI HELA YANGU NA AKANIBADILIKIA KAMA SIO YEYE VILEEEE
Watu wapole wengi ni wastaarabu huyo kuna kitu ulimfanyia au ipo siku atakuja kukulipa na kukupa zaidi ya hzo
 
Wengi wao ni wanafiki sana bora siye wenye tabia zetu zhazijulikani mpole si mpole mkorofi si mkorofi mkimya mongeaji kanyaga twende kulingana na mazingira nilipo sasa hao jamaa wanaojifanyaga wanakondoo kumbe rohoni wamejaa roho mabaya hasira kama lile zee la Marekani linahubiri amani ya dunia huku nyuma linawagawia silaha watu wauane mwishowe Kim Jong Un kaamua kulikuna kila siku linabwabwaja tu
 
Mimi ni mpole na mkimya nisiye na maneno kabisaaa... ila:

*Sipendi upuuzi hata kidogo. Sipendi masikhara na nina hasira kiasi kwamba kuna wakati mimi mwenyewe najishangaa.

*Napenda haki na usawa kwa 100% kwa hiyo simuonei mtu, wala sitaki nionewe.

*Sikurupuki, ukinikuta nagombana na mtu ujue kweli kanikosea. Pia katika mambo yangu yote ninayofanya sipendi papara wala kushirikisha watu wenye maneno mengi kama kasuku. Research ndogo ndogo za kutosha ili mambo yaende kwa uhakika.

*Siweki vitu moyoni kama wengi wanatutuhumu sisi wapole. Ukizingua ni on the spot nakuchana (ila sirushi ngumi)
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Kweli mkuu
 
Kumbukeni kuna upole na ukimya. Dalili Kubwa ya mpole hachikii haraka hata kama ni mwongeaji Sana ILA mkimya haongei lakini nirahisi kumvaa yeyote na hasamehi na walk hamalizi ugomvi
 
Ni wanafiki
Wanapenda hujuma
Hupata Sonona kwa haraka
Madomo zege
 
Back
Top Bottom