Tabia Nane za watu wapole

Tabia Nane za watu wapole

Unajua watu ambao ukiwaudhi wanakwambia hapo hapo ni wachache na si kwamba et watu wote wacheshi wako hivyo bali ni tabia za baadhi ya watu.

Hivyo na watu wapole pia sio kwamba wote wapo hivyo unavyosema,mie mtu anaweza kuniudhi na nisimwambie na nikamsamehe kabisa bila hata yeye kujua.
Unaona sasa!??? ....yaan we ndo typical mkuu

Hivi Mimi nimekosea huniambii ( na binadamu huwa na tabia ya kurudia kitu,) ntarudia tena huniambii, hivi mi ntajuaje nakosea?

Sasa hiyo ndo tabia yenu mkuu, umeona ulivyosema akikosea humwambii na unamsamehe bila yeye kujua! Haaa haaa...huo sasa sio msamaha mkuu ni unahifadhi vinyongo, siku makosa yamekuwa mengi coz binadamu hafanyi kosa moja, ni mwendo wa multiple mistakes kwa kwenda mbele....sasa basi mlivyo nyie yakijaa kifuani unakumbushia kila kitu na kisasi juu ....hatari sana!
 
Wauaji kweli

Wachawi hapana
Na wachawi ni hao hao mkuu.....huoni wengi wa wachawi ni wanaongoza kwa ibada na kitaa ni wanakuwa hawana maskendo.. Wapole na wakimya kumbe behind the scene ni nuksi

Chini ya jua hakuna siri, wakifichuka kila mtu anahisi anaota!!!

Wee chunguza mara nyingi watu wa matukio ya kutisha kama huwaga ni waruwaru or wapole na wakimya?!
 
Tabia nane za watu wa pole.
1. Wanafikiri sana kabla ya kutenda, sio wakurupukaji
2. Ni rahisi kuwaamini
3. Wako tayari kutoa msaada.
4. Ni wazuri kuwa nao kama marafiki
5. Ni wasikilizaji wazuri
6. Wanazielewa hisia za wengine
7. Wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu
8. Ni wagunduzi.
Taja na madhaifu yao, maana naona umewaongelea ubora wao tuu..
 
Back
Top Bottom