Fekifeki
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,519
- 652
Kweli kabisa mkuuKweli, ila umesahau moja. Akiishiwa uvumilivu ni mbaya kuliko simba na si wepesi kusamehe.

Kweli kabisa mkuuKweli, ila umesahau moja. Akiishiwa uvumilivu ni mbaya kuliko simba na si wepesi kusamehe.

Watu wengi huwa mnatafsiri upole wa mtu ni ujinga,sasa siku mtu akikuonesha kuwa sio mjinga ndipo mnapokuja kusema watu wapole ni wabaya.Tunaenda sambamba sasa...mkimya anakusnitch bila wewe kujua ndo napowachukia sasa!
Mpole anachukia ila anajifanya yuko okay
Ila mcheshi/ muongeaji ukimuudhi analipuka hapo hapo na life goes on, so far hawezi kukuficha kitu yaani ni hawakaagi na kitu rohoni ni wanakerekaga fulani hivi which is good!
Umeona huo utafauti wako wa watu watatu sasa? So mimi nimeamua kuachagua fungu la tatu, coz ninawafahamu mnoo
Big up mkuu! Kiukweli sisi watu wapole unaweza ukakaniwa hata na mtu mwenyewe uliyemwibia!Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.
Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu
Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.
Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.
Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.
Kwa upande wa pili...watu wapole huwa wakireact kwa hasira ni wabaya sanaaa kuliko wale wanaojulikana kuwa ni Wakali.
Pia watu wapole wengi wao ndio wanaowafaidi sana wanawake na pia ndio wanaoongoza kuwa na watoto wa nje ya ndoa.

Wanapenda kuweka vitu rohoni na kulipa visasi, that's y siwapendi mkuu!
Witness?![]()
![]()
mkuu hii ni ID fekero namuwakilisha Witness bonge ( yule mwanamuziki)

Mimi ni mpole na mkimya, lakini sijawahi kifikiria kujiangamiza kiboya hivyo.umesahau tabia nyingine wanajiuaga kwa sumu au kujipiga risasi bila sababu za msingi na kuwafanya watu wabaki midomo wazi .
Haaa haaa....umeona ehh!aisee imebidi tu nicheke....watu ambao hawajanizoea wanasema mimi ni mpole, ila nikishazoeana nao wanasema mimi sio mpole ila mkimya...
Nabaki najiuliza tofauti ni ipi, anyway nimekusoma toka mwanzo kuna sehemu pana ukweli.
najitahidi nisikwazane na mtu maana nikimchukia sijui kumsamehe na huwa natamani nifanye revenge maumivu niliyopata na yeye ayapate.
Ila ni tabia mbaya najitahidi sana kuiacha!

Hamna mkuu...napenda nikimkosea mtu aniambie hapo hapo niombe radhi mambo yaishe tusonge mbele ( sababu hakuna mkamilifu na naweza fanya kitu mi nikaona poa kumbe yy nimemkwaza mbaya)...sasa hawa watu hakwambii wala nini siku ya kurevenge ndo utajua balaa lakeWatu wengi huwa mnatafsiri upole wa mtu ni ujinga,sasa siku mtu akikuonesha kuwa sio mjinga ndipo mnapokuja kusema watu wapole ni wabaya.
Sasa labda wewe ndiyo umepitia hali hiyo.
...maisha gani sasa hayo!Mimi ni mpole na mkimya niliye advance, huwa sipendi kufahamika tabia zangu kwa strangers.Haaa haaa....umeona ehh!
Mpole mara nyingi ndo huyo huyo mkimya...wana libalaaa lao hill
Akikuchukia hasemehi, full vinyongo huku katulia tu! Sasa hiyo si murder case inatafutwa![]()
![]()
Halafu watu wapole/ wakimya nyuma ya keyboard wana maandishi mengi kama nini!Mimi ni mpole na mkimya, lakini sijawahi kifikiria kujiangamiza kiboya hivyo.
ha ha ha umenichekesha sana!!Haaa haaa....umeona ehh!
Mpole mara nyingi ndo huyo huyo mkimya...wana libalaaa lao hill
Akikuchukia hasemehi, full vinyongo huku katulia tu! Sasa hiyo si murder case inatafutwa![]()
![]()
Una bahati sikujui...mi ningekugundua tu mkuuMimi ni mpole na mkimya niliye advance, huwa sipendi kufahamika tabia zangu kwa strangers.