Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,508
- 2,058
- Thread starter
- #101
Teheeee....teheee..teheeeeeh!Naunga mkono hoja100%100%
Karibu..
Teheeee....teheee..teheeeeeh!Naunga mkono hoja100%100%
Kweli tuko tofauti,,,,,,, hapa nawaza kununua daf lf kumbe kuna wengine wanaangali hela za kwny wallet kweli dunia pana!!!!!!!!
Siyo kiivo umeongeza chumvi!!!!
Jamani wanaume mmezidi kulalamika,kila ukifungua MMU ni mada za kuwalalamikia wanawake,kha!! Mpaka inaleta uvivu kukoment.
Ukiona malalamiko mengi ujue uovu pia ni mwingi.Maana aisifuye mvua imemnyea
Kwahiyo nyie ni watakatifu hamna uovu?
Hahaaa siyo Scania 124 au R 420???? Ila nimekukubali tukutane pm mdada!
Hizi Tabia 7 za Mwanamke zinazoshangaza, nawe ongezea uzijuazo.
1.Mwanamke siku zote hufikiria apate(kuolewa) na Mwanaume mwenye pesa na mwonekano mzuri japo yeye ni kituko na hana chochote zaidi ya begi na sim.
2.Ukimtongoza(au kumwomba urafiki),anakuuliza unafanya kazi gani wakati yeye hana kazi na anaishi kwao ama kwa dada yake mwaka wa sita huu.
3.Anapenda aolewe na mtu mwenye kazi nzuri,pesa,elimu ,nyumba ama wadhifa flani wakati yeye alifeli na yupo kwao hana dira.
4.Mkikutana mara ya kwanza kama mlikuwa hamfahamiani,anatarajia akukute smart,umetupia vitu kama suti,jeans na t-shirt ya ghalama,umenyoa vizur,unanukia manukato ya bei wakati yeye amekuja na gauni la PAJAMA,la tsh.2500 pale k/koo na amesuka mabutu,amepaka mafuta ya mgando(mamiz ama juakali.)
5.Mkiwa baa mkiagiza anakodoa macho aone unatoa sh.ngapi kulipa na kama unazitoa pesa kwenye wallet(pocket money,pochi) ama moja kwa moja kwenye surual.Wakati huo yeye zake amefunga fundo kwenye kitenge au ameshikilia au amedumbukiza kifuani zimenasa mwenye sindiria.
6.Akiona uko Smart,unapesa ama unakazi nzur kuliko jamaa aliyenae, ukimuuliza kama ana mtu atajibu yuko Single.
7.Ukiongea nae kwenye sim kabla hamjaonana,utasikia maneno kama,nacheki movie,naangalia tamthilia niko na mom na dad,Nimetoka out na mafrend zangu,niko saluni,.Kimbembe kinakuja mnapoonana unakuta hafanani na saluni wal tamthilia.Kaz inakuwa kukuonesha kwao,.Ukifanikiwa kupajua utashangaa kukuta hata hakuna kigoda.
Hao ndo wanawake bana ,ila big up wanawake mnatulea miezi tisa!Respect !.
big up hiyo uliyotoa haijafuta ulichoandika huku juu. hata hiyo big up kubeba mimba miezi tisa ni kazi sawa ila hujaweza kuona kazi kubwa ya mwanamke anayoendelea kuifanya duniani ila hiyo ya miezi tisa tu??????????????????????????
kukulea hadi ufike kiburi cha kuandika uliyoyaandika hujaziona hizo tabia njema za mwanamke. labda nikukumbushi japo hutakumbuka.
ulipozaliwa tu ulikuwa unakojoa kila baada ya nusu dakika , na kujinyea (kujisaidia) , na kulialia na kumfanya mama yako akikesha kukunyonyesha kila baada ya nusu saa au lisaa, hukuona tabia njema ya mama yako ya UPENDO WA DHATI,UVUMILIVU,UJASIRI NA KUJITUMA, KUFANYA KAZI KWA BIDII, KUJISHUSHA , KUWAJALI WENGINE KULIKO WAO WENYEWE????????????????????
akakuvumilia kukufulia kukulisha na huku wakati mwingine akiyafanya haya peke yake huku baba yako akimuacha anahangaika usiku na mchana peke yake nina uhakika wakati unazaliwa permpas hazikuwako ilikuwa mwendo wa kanga za kukata au nepi kufua kwa mama yako hadi kuchubua mikono yake si tabia ya kujituma njema unayotakiwa kumuheshimu mwanamke yoyote?
ulipoanza kukua mama yako akiwa na uangalizi wa hali ya juu kukuhangaikia hadi kufikia kujitambua na kukuacha uwe kutongoza mwanamke na wewe usema vijimambo hivyo
mwanamke huyo huyo unayemsema sasa hivi ana majukumu makubwa zaidi ya yale mungu aliyompa kutoka katika biblia ya wakristo. maana sasa anatafuta kwa jasho na kulea familia zenye wanaume pasua kichwa anarudi amechoka aazne kuhangaika kumuandalia baba na kuangalia ya famila kwa ujumla kipi kime kaa sawa.
nyie mnaishia kutafuta kwa jasho (kula kwa jasho) sisi tuna zaa kwa uchungu tunalea kwa shida tunakula kwa jasho na tuna tunza familia.
sema mkuu
Nenda kaperuz vtabu vtakatifu (Quran or Bible) upate kujua mwanaume kaagizwa nn juu ya mkewe, itakusaidia kuelewa kwann wanawake wapo hivyo walivyo! Mungu akusaidie ktk uanaume wako...coz ka vile umelemewa flan hv!!
Nenda kaperuz vtabu vtakatifu (Quran or Bible) upate kujua mwanaume kaagizwa nn juu ya mkewe, itakusaidia kuelewa kwann wanawake wapo hivyo walivyo! Mungu akusaidie ktk uanaume wako...coz ka vile umelemewa flan hv!!
Mleta mada dizaini Kama kalemewa hivi anahitaji msaada tutakuhonga sisi ohooooo!!!
Asili ya Mwanadam ndo inasema hivyo sio amri zangu Iron Lady.Hata mi naumia sana mnavotuhangaikia tukiwa wadogo.Lakini ukwel lazima sa zingine tuseme.
Asante kwa ushauri,lakini bahati mbaya kwamba siamini katika chochote na wala sina dini na sihitaji.Karibu
Mwanamke akiolewa hataki mawifi zake wamtembelee au waongee na mime wake wakati yeye ndio namba wani anataka awakontroo wake za kaka zake.
2. Mwanamke aakiolewa hataki kabisa mama mkwe awatembelee wakati yeye anawasema mawifi hawamuangalii mama yake mzazi.
3. Mshahara wa mwanamke unakotumika hutajua ni wapi ila wewe ukiondoka asubuhi na laki anategemea ununue mafuta ya gari na gazeti tu chenji irudi na aione.
4. Hataki uwe na nyumba ndogo ila ukimsogelea usiku kama haumwi na kichwa basi ni tumbo au kuchoka au subiri mtoto alale ili mradi tu akuache frustrated.
I HATE WOMEN
huamini katika chochote?????????????????????? sasa unaishi vp???????????????