Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
everlenk msome huyu Kichwa Ndio Mtu hapo juu ndipo ujue aliyekopi kwa mwenzio. Amin Amin Amin Walahi nakuapia...hii ni kazi ya mikono yangu.
Kisha soma maelezo kwenye comment uliyoniquote uone huyu aliyekopi kwangu alivyofanya makosa mengi tu!!!!
Well, I have myself to blame on this I guess!!!!
Na kweli ina makosa mengi sana,pole sana Mentor,happa inabidi tufanye inteligensia mpaka tumpate huyo mtu anayekula jasho la mtu bure tu. Nimesikitika sana aisee tumpeleke msalabani nini????everlenk msome huyu Kichwa Ndio Mtu hapo juu ndipo ujue aliyekopi kwa mwenzio. Amin Amin Amin Walahi nakuapia...hii ni kazi ya mikono yangu.
Kisha soma maelezo kwenye comment uliyoniquote uone huyu aliyekopi kwangu alivyofanya makosa mengi tu!!!!
Well, I have myself to blame on this I guess!!!!
Kudaadeki Nimuweke wazi mapema lengo langu ni kupiga kazi tuu anikatae/aniwekee mazingira magumu ya kum-du! ilhali wanawake wengi wanapenda kusikia ndoa kwanza?Mi napiga mzigo kwanza mabo ya ndoa yatakuja baade pending ubunifu,kujituma,kujali just to mention a few.Wanaume wengi hii ndio sura yetu halisi hasa ikiwa lengo la uhusiano ni kwa ngono tu (na wengi hatuweki wazi mapema)
Mentor vipi tena au ndo ile methali ng`ombe wa maskini hazai hata akizaa dume linakufa,kazi ufanye wewe utukufu unaenda kwa mwingine pole sana.
Nimeacha mkuu siongei tena nisije nikaharibu bure hapa mkuuVipi tena mkuu unataka KUNITARASHA, si unajua ndo namzukia yule soldier!!!
Nimeacha mkuu siongei tena nisije nikaharibu bure hapa mkuu
Au kwa kuwa nawe una maslahi binafsi pale nini? Protocal observed!
mhuri kwa kila thread hilo swala ni gumu sana coz kuna thread nyingi sana katika majukwaa mbalmbali labda iwe ni automatic lakini pia hata kama kukiwa na mhuri kwa kila thread bado mtu anaweza kucopy contents/words na kwenda kuzitumia vinginevyo mahali pengine kuna siku nilishawahi kuweka thread hapa jins blog zinavyoiba articles za jf nilitolea mfano wa blog ya utamu specially ( https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/584827-ya-blogu-ya-udaku-na-jf-mmu.html ) mi nahisi kitu cha msingi ni sisi wenyewe kujibadilisha na kuona umuhimu wa kuthamini kazi ya mwenzako,
charminglady Tized The Boss Phlagiey Jerrymsigwa Jembe afrika MUSSOLIN Kaizer Mndengereko McDonaldJr uhurumoja Mwashelii g click NI MTAZAMO TU Ennie @ng`wana ong`wa kulwa Moderator neggirl badiebey Asprin Heaven on Earth Evelyn Salt Kaunga Kongosho King'asti
Tafadhali pitieni hapa kwenye hii thread...
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/419334-tabata.html
Hii stori nimeikuta ikisambaa kwenye whatsapp messages balaa. Kinachonisikitisha ni huyu msambazaji (most probably mwanafunzi wa MZUMBE) ambaye amefanya kuiiba na kuibadili majina ili ionekane ya kwake. Nimesikitika sana.
Halafu sasa hajastukia kosa alilofanya kwenye 'Plagiarism' yake ni kuwa Amesema mwanzo...
**Halafu mbaya zaidi ni January 06, 2013 ilikuwa Siku ya Jumapili! ***
Cc: Mtambuzi (alikuwa sababu ya mimi kuiandika hadithi hii)
Special copy: Nicas Mtei AshaDii gfsonwin Jiwe Linaloishi (nakumbuka mlinipigia simu ile siku kunijulia hali)
Bcc: Nyani Ngabu na Kiranga