TABATA
Tulienda guest moja inaitwa MUNGU ANAKUONA GUEST HOUSE & RESTAURANT. Nikalipa pale tukaingia ndani.
Wasalaam wapendwa,
Mentor.
ooh bibi..where were you bibi...nimeliaje mwenyewe leo!!!
binafsi puli limenilinda mpka leo 🙂huyu bint nitamshauri apime na hatimaye nijue na nijue kwanza tabia yake
:rockon: puli jamani ukishindwa pigaga
nilikuwa shambani,ujue umeanza kushindikana mjukuu wangu sasa siku hiyo ulijiona mjanja kumbe mjinga,haya nambie majibu yakoje ili niagize ambulance mapemaaaaaaaaaaa
Bibi nimeghairi kuchukua majibu bibi...nitaenda kesho. Hospitali nimepewa ED tatu.
kama umeogopa kwenda kupima HIV/AIDS, sasa umepatiwa wapi ujasiri wa kuandika hii tread?
ushauri nenda kamtafute shigongo katka maswala ya utunzi wa hadith huko vizuri atakusaidia
<b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=12209" target="_blank">Mentor</a></b> ... you made my evening brother yani umenifanya nicheke kwa nguvu lolz!