BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,424
- 8,229
Pale kuna Ofisi ya Mtendaji, Diwani na Serikali za Mitaa wanaona kabisa kinachofanyika lakini wamekaa kimya ujenzi unaendelea. Kuna kituo cha Meru kimejengwa chini ya Miezi 3 na kimeanza kazi huku vingine vikiendelea na ujenzi usiozingatia sheria.
Ni muda sasa Waziri Jerry Slaa afike katika eno hilo na kuchukua hatua za haraka kunusuru usalama wa watu na kuangalia wanaohusika kutoa vibali wanavyofanya uhuni.