Hakuna unyama wowote mtu wa aina hiyo kuondolewa
Wew n last born nini? Au umekulia kwenye mazingira ya mom and dady
Yani unatetea mwezi? Someone who can just kill you for no reason na bado akakuibia ? Siku hii kichwa ikaonea huruma mwizi naenda itumbukiza baharini kwa muda , ipate maji ya chumvi kwanza, huenda kuna sehem panaanza kufel chumvi itapachangamsha