BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Acha ujinga wewe kupinga unyama nani alikudanganya kwamba inahusiana na ulizaliwa wangapi! Wa wapi wewe? Nani alikudanganya kuna sheria Tanzanian ya UA NIKUUE??
Na kukulia mazingira yoyote yale hayakupi haki wewe kuchukua sheria za kinyama kama zile mikononi mwako ingekuwa hivyo Serikali kupitia vyombo vya dola ingeshatangaza rasmi kwamba sasa ni RUKHSA kwa Watanzania kujichukulia sheria mikononi mwao dhidi ya wahalifu ikiwemo kuwaua.
Na kukulia mazingira yoyote yale hayakupi haki wewe kuchukua sheria za kinyama kama zile mikononi mwako ingekuwa hivyo Serikali kupitia vyombo vya dola ingeshatangaza rasmi kwamba sasa ni RUKHSA kwa Watanzania kujichukulia sheria mikononi mwao dhidi ya wahalifu ikiwemo kuwaua.
Hakuna unyama wowote mtu wa aina hiyo kuondolewa
Wew n last born nini? Au umekulia kwenye mazingira ya mom and dady
Yani unatetea mwezi? Someone who can just kill you for no reason na bado akakuibia ? Siku hii kichwa ikaonea huruma mwizi naenda itumbukiza baharini kwa muda , ipate maji ya chumvi kwanza, huenda kuna sehem panaanza kufel chumvi itapachangamsha