Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,809
Hapana, hakuuawa, mzimaAisee kumbe ndivo ilivokua, vipi mmiliki wa hiyo pikipiki aliachwa hai??
Maana wanachoniboa zaidi hawa wezi ni kuua.
Na yeye ndie alikua na taarifa za pikipiki kufungwa GPS