Tabasamu lako ni ishara ya nini?☺️☺️

Tabasamu lako ni ishara ya nini?☺️☺️

fake smile ninayo kwa wateja tu, huku kwingine nikikwazika nanuna na nikiwa na furaha pia sifichi tabasam langu mwanana🙂😊
Umeongea ukweli kwenye minuno huwezi ku fake 😎
 
Boss mkubwa kakosea namba kanipigia mimi alafu anasema shikamoo baba nikaitikia ndiyo akagundua ni mimi akakata simu
Nikajikuta nacheka na kutabasamu na siku yangu iko vizuri mno lile lijamaa kunipa mimi shikamoo najiona mwamba sana aisee
Tabasamu upate furaha😊
Boss kaibariki siku yako👏
 
🤣🤣🤣 Hapana, mimi nimeshawahi kuona sura ya mbuzi tu
Sasa usipotabasamu mapema huko ukubwani utatoa tabasamu kama la mbuzi lenyewe hua kama mix by yas
La furaha na uchungu kidogo 🙃😅😅
 

Attachments

  • 2026_05_03_21.07.02.jpg
    2026_05_03_21.07.02.jpg
    63.9 KB · Views: 14
Tabasamu ☺️
Hii ilifaa iwe dedicated kwa mtu
 

Attachments

  • b60375063f5e2886573b5c7ccfcfe89b.mp4
    5.7 MB
Wezeleee😁🔥🔥🔥
Tabasamu
 

Attachments

  • dfbfe4a198350277dadd92760ab3f119.mp4
    3.6 MB
Mim natabasam tatu
- fake ninapokuwa na wateja. Au nina mawazo naficha nisiwaboe wenzangu
-la ukwel nikiwa peke angu haswa jion hupenda kuzurula mliman na kamera yangu nikipga picha jua linazama na mazingira ya pemben ya mji, huwa najiskia aman na kushukuru kuwepo dunian.
- tabasam la kukasilika. Mtu akinikosea au kunidanganya najikuta natabasam.
Anaweza asijue nafkilia nin.
Na hii hata adui akikukwaza afu unatabasam, itamtesa akilin
 
Mim natabasam tatu
- fake ninapokuwa na wateja. Au nina mawazo naficha nisiwaboe wenzangu
-la ukwel nikiwa peke angu haswa jion hupenda kuzurula mliman na kamera yangu nikipga picha jua linazama na mazingira ya pemben ya mji, huwa najiskia aman na kushukuru kuwepo dunian.
- tabasam la kukasilika. Mtu akinikosea au kunidanganya najikuta natabasam.
Anaweza asijue nafkilia nin.
Na hii hata adui akikukwaza afu unatabasam, itamtesa akilin
Inasemekana watu wanaotabasamu wakati wa hasira hua watu wabaya sana wanaweza kufanya matukio ya kutisha
 
Tabasamu ni njia ya kuelezea hisia zako (furaha) hasa ikitokea umeguswa na jambo fulani ambalo litaukonga moyo wako

Kuna baadhi ya watu, anaweza kuonesha tabasamu hata akiwa kwenye nyakati ngumu pia

Na kwenye Ujasusi, unaweza kuonesha tabasamu (kama signal) kuashiria jambo ni deal done
 
Back
Top Bottom