Taasisi za Kiislamu zaisafisha CHADEMA

Taasisi za Kiislamu zaisafisha CHADEMA

chadema ni ukristo mtupu hata ilani yao ilikuwa ya kanisa
 
hao waislamu unaosema hapo kwenye nyekundu ni wangapi? Mi naona kama kuna wawili tu, mmoja ni yule mpemba na mwingine anaefanyiwa kila njia atolewe(Zitto)

Hivi wewe kweli ni mtanzania yaani unataka kila taasisi tuanze kuhesabu kuna watu wangapi wa dini hii na hii, kumbuka hii dhambi mnayotenda ni kubwa msidhani inawaharbu Chadema bali inaiharibu Tanzania.

Lakini pamoja na hayo habari njema ni kwamba Watanzania wanafahamu sana ukweli na hawatakubali kudanganywa kirahisi hivyo. Naomba ndugu zangu tuipende nchi yetu kwa kuyainua mazuri na kuyapinga mabaya. Bila kufanya hivyo tusidhani athari za udini zitaisia kwenye kundi.
 
Chadema mlivyo wepesi kusaha mbona Uchaguzi wa Mwaka 2010 mlisimamisha Mgombea Urais Padre! Kama haitoshi mkaja na Mkakati wa Kikiristo kuamusha siasa Tanzania TEC ambao Ndugu Komu wa Chadema Makao Makuu Utawala na Fedha alishirikiana na Mapadre kuandia waraka huo wa TEC,sasa mnakanusha nini? Chadema fikeni mahali msime Kanisa Katoliki basi!
 
Huu ni upuuzi. munashindwa kuomba mungu atuepushe na majanga ya DOWANS, au kwa nini musiwaombee dua hawa wezi wa DOWANS, KAGODA, MEREMETA, UDA, nk. munawaza kuombea mabaya wanaotaka maendeleo na mabadiliko ya kweli. Mungu sio mnafiki kwa hakika dua hizo zitawarudia wenyewe. Hivi kwa nini BATAMIKI wanataka kumuhusisha Mungu na Ushirikina. Mungu awalaani nyie mashetani wakubwa.
 
Chadema mlivyo wepesi kusaha mbona Uchaguzi wa Mwaka 2010 mlisimamisha Mgombea Urais Padre! Kama haitoshi mkaja na Mkakati wa Kikiristo kuamusha siasa Tanzania TEC ambao Ndugu Komu wa Chadema Makao Makuu Utawala na Fedha alishirikiana na Mapadre kuandia waraka huo wa TEC,sasa mnakanusha nini? Chadema fikeni mahali msime Kanisa Katoliki basi!

Madrasa al sul
 
Hizo mbona ni kama Ngo za kiislamu za vitongoji tu. Mabaraza makubwa ni kama Bakwata, baraza Kuu la taasisi za kiislam na Ayat l ulamai (Taasisi ya wana taaluma wa kiislamu.
 
Waliotumiwa ndio waombe msamaha. Dua ya haki hutimia lakini isipokuwa na haki hurudisha laana. Ila ni mwanzo mzuri kuanza kuacha kutumika.
 
Sasa tuimarishe zaidi umoja wa kitaifa. Kwa wale wasiolitakia mema taifa letu tuwapinge kwa nguvu zote. Msamaha ni nguvu ya umoja. Twende sasa.
 
hizo mbona ni kama ngo za kiislamu za vitongoji tu. Mabaraza makubwa ni kama bakwata, baraza kuu la taasisi za kiislam na ayat l ulamai (taasisi ya wana taaluma wa kiislamu.

bar kwata
 
Daah! Jamani acheni udini hautusaidii! Yani badala ya kuchangia topic kama ilivyokuja tunashambuliana kidini hapa jukwaani hii inasikitisha sana!
Mimi ni Muislam and am proud to be a muslim! lakini hali hii inanisikitisha sana.
Awali CUF walipokuwa wananasibishwa na uislam wakristo hawakuishambulia cuf km ilivyo hivi sasa waislam tunavyoishambulia CDM! wakristo wengi walielewa kuwa ile ilikuwa ni propaganda ya ccm! kuimaliza cuf!
Lakini leo propaganda ile ile imelekezwa kwa chadema basi sisi waislam kwa kuwa wengi wetu ni mazuzu basi tunamalizwa na uzushi huu!
Tumuogope ALLAH jamani! ametupa akili ebu tuzitumie vizuri ili tupate dhawabu!

Hivi ni kweli ukifuatilia vizuri chadema kinavyojiendesha ni cha ma cha kanisa?
 
BATAMIKI wanataka kumuhusisha Mungu na Ushirikina. Mungu awalaani nyie mashetani wakubwa.
CCM bana wakati wa uchaguzi Igunga BATAMIKI walikuwa malaika leo wamekuwa mashetani msilaumu wakunga na uzazi ungalipo kesho na kesho kutwa mtawahitaji.
 
Hizo mbona ni kama Ngo za kiislamu za vitongoji tu. Mabaraza makubwa ni kama Bakwata, baraza Kuu la taasisi za kiislam na Ayat l ulamai (Taasisi ya wana taaluma wa kiislamu.

Safari yoyote huanza na hatua moja.
 
ccm ni uislam damdam

kwa kweli mi naweza sema ccm is not an islamic party at all but in case of cuf ndo chama cha kiislamu kabisaaaa!.je chadema unaweza kunielezaje ni cha katoliki?
 
Kwa wale mnaoshabikia udini, basi tukubari kuwa CDM ni chama cha Wakiristo na CCM ni chama
chama cha Waislamu halafu viongozi wetu wakuu wa kidini kama TEC, CCT waanzae kukampain for CDM
na viongozi wakuu wa BAKWATA, BAMITA wakampain for CCM, labda ndiyo mtafunguka akili.
Maana mijutu mingine haiwezi kuona hatari iliyo mbele yetu kuendekeza udini ktk siasa hadi ione kama
Thomaso.

Haya viongozi wetu wa kidini go gooo Wakiristu for CDM, na Waislamu for CCM and CUF, hiyo ndiyo
Tanzania wanayoitamani watanzania.

...mkuu punguza hasila,ebu tumia kama dakika tano hivi,kaa kimya fumba macho waombee hao wasio jua ubaya wa kuligawa taifa hili kwa dini,baada ya hayo maombi chukua maji baridi kunywa bakiza kidogo nawa uso au jimwagie kichwani... I hope hasila itapungua kama c kuisha kabisa...Nimekupa ushauri huu si ya kwamba mimi ni mtoa ushauri nasaha hapana,nimekusoma na nimekuelewa vizuri sana.Adiko lako limekuelezea wewe ni mtu asiyependa mabaya yalipate taifa hili lakini unaona kuna watu ambao kutokana na ujinga wao au ulewa-wao mdogo walionao wanalipeleka taifa kule ambako wewe usingependa lifike...Munga amekupa bahati ya kuliona hilo,kazi iliyombele yako wewe mimi na wote wenye nia njema na nchi hii ni kuwaombea hao wanaotaka kuliingiza taifa ktk machafuko ya kidini waone ubaya wa kueneza chuki za kidini na tujaribu bila kukoma/kukata tamaa kuwaelimisha ubaya wa kuingiza hizo propaganda zao mbaya za kidini ktk harakati hizi za kulikombo hili taifa lilokwama kwenye tope la umasikini na dhiki..."MUNGU IBARIKI TANZAINI NA WATU WAKE" ...tafakali
 
Kwa kweli tamko hili linaonyesha waislamu wameanza kuelewa adui yao ni nani.
 
Back
Top Bottom