Sasa wewe unautani na TANESCO 😁😁. Jana Makonda kawauliza kama ikisema wapigiwe kura watapata asilimia ngapi?Mwaka 2023 ndio hivyo unazidi kuyoyoma taratibu.
Kwa maoni yako, mwaka huu 2023 ni taasisi ipi ya Serikali imefanya kazi inayostahili pongezi, kwa maana kuwa imefanya vizuri zaidi
Na ipi imefanya vibaya zaidi ya nyingine zote.
Tufunguke hapa
Wizara ya Afya, Maji, TANESCO zimefanya vibaya snMwaka 2023 ndio hivyo unazidi kuyoyoma taratibu.
Kwa maoni yako, mwaka huu 2023 ni taasisi ipi ya Serikali imefanya kazi inayostahili pongezi, kwa maana kuwa imefanya vizuri zaidi
Na ipi imefanya vibaya zaidi ya nyingine zote.
Tufunguke hapa
Natafakari nitarejeaaToa maoni ndugu
Hakuna hata mojaSawasawa,
Zipi zimefanya vizuri?
Kama alama, tanesco nawapa 20/100UTT wapo vema, nawapa maua yao,
Vijana wa ovyo ni TANESCO, Hawa hata wakikatwa mshahara haina mbaya