Not Iran but Iraq.Iran hamna machafuko kaka.Ata Kama imechukua dakika Ngapi Nasema shukran kwa Askari wa TZ kwa kufanya haki,i really hate terrorists wanatupa presha Huku Kenya Sababu Ni majirani wetu Hapa Somalia,Nilionya kitu Kama hiki kinaweza tokea Tz mkikosa kujichunga,Hawa Mafala wanaweza tokea anywhere anytime na kufyatua watu risasi na kupiga mabomu ovyo😳please East Africa help each other to fight this goons before they spread like air in our midst,jiulizeni hiyo bunduki alitoa wapi? na mujiulize jee Kama Kuna wengine Kama Hao TZ??East Africa tukikosa kuchunga will be worst than Somalia,Nigeria and Iran