Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

Kenyatta baada ya miaka 5 ataigeuza kenya kuwa kama south africa ki maendeleo
 
Mwachen alete hao wawekezaji kwenye madin yetu after all hakuna mtu aliyeyatolea jasho yachimbwe coz yaliwekwa na mungu naunga mkono hoja ya chimbwe tu... mpaka yaishe.
 
Sasa hebu turejee kwa Naibu waziri wa Fedha wa JMT Mwigulu Nchemba. Akichangia katika CA majuzi aliwatuhumu kwa majina Mhe Mbowe mwenyekiti wa Chadema na Mhe Lipumba Mwenyeki wa CUF kuwa vyama vyao vinaushirikiano na vyama vya nchi za Uingereza na Ujerumani na kuwa malengo ya vyama hivyo ni kuleta Ushoga hapa nchini katika ushirikiano huo.
Huyu ni Naibu waziri kwa hiyo kauli yake hiyo ni kauli ya serikali kama serikali haikuipinga na haikuipinga.
Ki msingi kwa vile kauli ile kaitolea Bungeni imeingia kwenye rekodi.
Ninavyofahamu ni kuwa PM wa Uingeereza anatokea chama chenye ushirikiano na Chadema hivyo kama malengo ni kuleta ushoga through chama hicho basi hicho akifanyacho JK sasa hivi ni hichohicho cha kuleta ushoga tena mbaya zaidi ni kupitia Dola yaani serikali.
Jee kama hakina ukweli kile alichokisema Mwigulu sii atakuwa kama amemchafua bosi wake na serikali kwa ujumla? Kwa hili la kuropoka bila kufikiri anastahili kuendelea kuwa Naibu waziri katika serikali yetu wakati keshaonyesha kuwa yeye ni wa HOVYOHOVYO?
Atoke hadharani afafanue kauli yake na kuomba radhi hata kwa mkuu wake kwa kumuaibisha kuwa naye anaomba misaada ili kutuletea ushoga.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kikwete hana matatizo na USHOGA; toka lini umemsikia akiulaani hadharani?

Kwani wewe una matatizo na ushoga? mbona hatukuoni ukipinga wazi wazi kwa kuwapopoa na mawe hadharani?
 
Ana wasi wasi gani huyu M.K.W.E.R.E wakati fedha za bure zimejaa hazina!acha azurure atakavyo.
 

Imetolewa na;

Premi Kibanga.
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
London Uingereza
31 Machi, 14



hivi hii sentensi iko sahihi kweli?
 
Huyu jamaa ana tabia ya kukimbia nyumbani kwake mara mambo yanapokuwa magumu ; hivi sasa soo la katiba ndio limemfanya aondoke na kwenda kuzurula ulaya!!!

Kumbe!
Nilidhani kaenda kikazi
 
Nilimsikia mkuu wa kaya jana BBC akiuma na kupuliza kama kawaida yake kwenye ishu ya katiba, ngoja tutaendelea kumsikiliza kwa ukaribu leo
 

Imetolewa na;

Premi Kibanga.
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
London Uingereza
31 Machi, 14



hivi hii sentensi iko sahihi kweli?

Mkuu usishangae kuona hilo. Sasa hivi huko serikalini mambo haya ya kuandika yamekosa weledi kabisa maana ni hovyohovyo.
Sasa hicho ni cheo chake na bado anashindwa kukiandika ipasavyo unategemea nini.
Siku moja niliona mkubwa fulani kaandika kisha huku chini katamka cheo chake kama; KAMISHNA MWANDAMIZI WA POLISI MSAIDIZI. Nilichoka kabisa.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hi nchi inavyoendeshwa ni kama kuku aliekatwa kichwa,fast jet ye anazurura tu nje haigi mfano viongozi wenzie wa East Africa,kila siku yupo ju kama rubani
 
Kwa utawala wa hwa watu na hasa hii regime ya sasa kwao unavyoiona Tanzania wao wanaamini na wameridhika kuwa iko sawa. Kilichopo ni "it is our time to eat" na ndio maana akitoka baba basi anamuachia mtoto au binamu.
Kitu kinaitwa gharama wao ni pale wanapoona kuna makusanyo hazina basi ni lazima ifanyike mbinu yoyote ile pesa 'ziyeyuke', chukulia mfano wa mchakato wa katiba ambapo pesa nyingi zinatumika huku watu wachache wakiwa wanajua majibu katika kile kiitwacho 'utake usitake'.
Japo yote ni ccm lakini tunasikia waliotangulia waliacha balance (B/CF) pale hazina mfano pesa za EPA nk, ngoja tusubirie mwaka mmoja tuone mkulu ataacha balance kiasi gani pamoja na hili deni la taifa linalopanda kila kukicha.
 
Back
Top Bottom