Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

JK ni janga la taifa... Kenyatta yeye anapiga kaz tu wala humsikii kuzurura
 
Bila shaka amemweleza kuwa asithubutu kamwe kuruhusu mswada wa wennje juu ya kupiga marufuku ushoka ushoga nchini ujadiliwe bungeni.

Na bila shaka amweleza kuwa akiruhusu basi ajue misaada ya UK kwake ndo basi.
 
wamesahau kuandika kuwa kasaini na mjataba wa ushoga...

Ukiwa na rais mwenye mawazo tegemizi kama Kikwete usitegee wazawa wa nchi kuendelea hata siku moja. Kwake yeye bila kusaidiwa hakuna maendeleo. Kwani hao walioendelea ni nani aliwasaidia! Mimi huwa naheshimu sana watu wanaojiamini na wenye misimamo thabiti kama Mwalimu Nyerere. Ona Museveni alivyosema jana kuhusu ushoga! "I came to learn that homosexuality was unhealthy and this is because they go to a wrong address. Sexual organs of a human being are highly specialised"(I'm ready for Gay fight - Museveni - National - monitor.co.ug)
 
tanzania kwa usiri siri GAY AGREEMENT has already signed earl 31st.march.04 || adios amigo
 
Maendeleo ya Tanzania yataletwa na Watanzania wenyewe, na tusijidannganye kuwa mataifa makubwa yatatusaidia, La hasha! Mataifa haya makubwa ya Uingereza Marekani na wenzake watakuja kwa ajili ya kutunyonya na sio kutuendeleza.- Mwalimu Nyerere
Hiki ni kitu ambacho Kikwete et al wamesahau! Wanajishahua huku na kule kuwa wanamuenzi Baba wa Taifa, wakishapata kura tu ni kiguu na njia kuomba misaada. Hata hawazungumzi kufanya biashara au mahusiano mengine ya kiuchumi - wao ni kuomba tu! Shame on them.
 
Mashoga nao wapewe haki zao....kama nnahisi kaenda kutetea ushoga..hizo ni fikra zenu.... Mashoga nao wapewe haki zao kama minorities.... Kwani yanakuhusu nini????? Mashoga wajitikeze wafahamike na ichinguzwe ni nini haswa chanzo cha wao kuwa mashioga na nini kifanyike ili kuondokana na hili...that oll
 
Ukiwa na rais mwenye mawazo tegemizi kama Kikwete usitegee wazawa wa nchi kuendelea hata siku moja. Kwake yeye bila kusaidiwa hakuna maendeleo. Kwani hao walioendelea ni nani aliwasaidia! Mimi huwa naheshimu sana watu wanaojiamini na wenye misimamo thabiti kama Mwalimu Nyerere. Ona Museveni alivyosema jana kuhusu ushoga! "I came to learn that homosexuality was unhealthy and this is because they go to a wrong address. Sexual organs of a human being are highly specialised"(I'm ready for Gay fight - Museveni - National - monitor.co.ug)
Nilimsikia Museveni - he quoted Nyerere with appraisal - kwamba aliwahi kusema …."uhuru wa kweli ni pamoja na uhuru wa kufanya makosa…."!
 
Nchi ya mazombie!! Kuanzia mkulu mpaka raia!! Tunaishia kulalamika kwenye keyboard tu.
 
Twashukuru sana kwa taarifa, ila uandishi huu umenisikitisha sana.
 
Rais kikwete ana mawazo,gani ya kubadilishana..acheni utani bana
 
Kaka ametoa mawazo yake, ili tuyajadili kwani GT ndio mahala pake kukosoa na kurekebisha
 
Nimekaa na kujiuliza kitu nimeshindwa kupata jibu nimekuja na jambo hili ambalo siitaj tulichangie kisiasa bali tuvae viatu vya wanauchumi na tulijadili.
Najiuliza kwanini serekali isiwatume wataalamu wake ambao pengne wana uwezo wa kuwaelekeza hao wawekezaji vizur kuliko kuwapeleka mawazir 7 na mkuu wa kaya ambapo ni gharama kubwa,au kwanin asingeenda membe ambaye ndiye wazir wa kimataifa na jopo la wataalamu toka wizara hizo 7 na ofisi moja ya mkuu wa mkoa? nakumbuka wakati obama akija huku alikuja na wataalamu wake tu na wale wawekezaji akubeba mawaziri?
Je hamna namna inayoweza kufanyika tukawatumia watanzania wenzetu kuwekeza kwenye hii miradi baada ya kuwatafuta wawekezaj wagen ambao wanapewa na misamaha ya kodi juu? Namtakia rais na jopo lake mafanikio katika mwaliko huo walio nao na natumain hata mikataba itakuwa ya waz hao wawekazaj wakipatikana kama ilivyo upigaj wa kura tuloanza kuujaribu hapa nchin

Wakifika kule kwa sababu ya kutokuwa na uelewa wa wanachojadili, wanaaishia kuitikia "YES, YES"! Baadae mambo Hakika ovyo wanaanza kusema "Tuliwekewa dawa wakati wa kujadili hili suala"!
 
Huyu jamaa ana tabia ya kukimbia nyumbani kwake mara mambo yanapokuwa magumu ; hivi sasa soo la katiba ndio limemfanya aondoke na kwenda kuzurula ulaya!!!
 
Naona tu ya kugawana pesa !

Dola 500 kwa siku kwa mtu mmoja kwa siku zoe hizo!
 
Back
Top Bottom