Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

Taarifa ziara ya rais Kikwete nchini Uingereza

cameroon goma hilo limejileta,suti tano tu walapumulia kisogo
 
Ingekuwa ni Chadema ungewasikia akina Nchemba wakitoka mapovu kuwa wanaharalisha ushoga kwa kuwakumbatia Waingereza ambao wamehalarisha ushoga,utawasikia wakijinasibu na kupiga vifua na matusi kuwa ah ushoga huenda utakuja wao wakifa,akina Nchemba nyie ni nani nchi hii hadi mnajiapisha, hii sio nchi yenu wenyewe ,tafakari wako wapi waliokutangulia?
 
Sawa rais wetu na waziri wa mambo ya nje bwana Kikwete...
 
Sasa Mwigulu alikuwa akimaanisha nini alipokuwa akibwatuka over his dead body? Who does he think he is? Yaani kuwa deputy minister kajiona zaidi ya rais? Kama ana ubavu angemzuia basi rais kwenda kwa Cameron shabiki wa ushoga.
 
Asante sana kwa kunipatia mtandao wa mashoga. Nimeshangaa hadi basi. Tumwombe Mungu aturehemu na kutusamehe. Je, Mwugulu anayajua haya?

Asiyejuwa kama Tanzania pia kuna mashoga huyo atakuwa ni punguani.

Mwenyeezi Mungu atuondolee hila janga. Maana sasa ushoga imekuwa ni fashion, si wanawake si wanaume.

Zamani tulikuwa tunasemwa watu wa pwani, huu utandawazi umefichua waliokuwa wakijificha kumbe wale wanaosema hawamo wao ndio wakwanza.
 
Aiyejuwa kama Tanzania pia kuna mashoga huyo atakuwa ni punguani.

Mwenyeezi Mungu atuondolee hila janga. Maana sasa ushoga imekuwa ni fashion, si wanawake si wanaume.

Zamani tulikuwa tunasemwa watu wa pwani, huu utandawazi umefichua waliokuwa wakijificha kumbe wale wanaosema hawamo wao ndio wakwanza.

Sijasema kama sijui kama kuna mashoga TZ ila sikujua kama wanamtandao na tena wanaandika hicho nilichokiona na kukisoma. Kwa hiyo mimi siyo punguani nina akili nzuri. Usiwe mwepesi kutoa lugha za kuudhi bila sababu.
 
Back
Top Bottom