Pole sana Mkuu.
Lakini hii concept ya bwana kutoa na kisha kutwaa inahitaji mjadala hii.
pole mkuu zaidi kumwomba Mungu.
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
pole sana kiongozi,kuwa mvumulivu yote haya ni mipango yake mungu
Pole sana mkubwa, pole. Mungu mwenyewe awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu kwenu.
Pole sana mkuu, mwenyezi Mungu akupeni faraja na subra katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.
Aisee pole sana Mungu akutie nguvu.
Pole sn mkuu.
pole sana kaka ktk kipindi hiki kigumu mungu awe nanyi Amen
Pole sana mkuu
Thanks.. pamoja mkuu