pole sana mkuu tuko pamoja katika kipindi hiki kigumuSalam wana JF.. Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi.. Bwana alitoa Bwana ametwaa. Amen..
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
Apumzike kwa Amani mwangaza wa milele umuangazie eeh bwana
Msiba uko wapi kiongozi wangu?
Innalillahi, wainna ilayhi raajiun (Hakika sisi ni wa M/Mungu, na kwa hakika kwake sisi sote tutarejea). Mungu amsamehe makosa yake na amweke mahala pema, Aamin.
Poleni sana
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..
pole sana ndugu yangu Mungu afanyike faraja kwenu na ampumzishe marehemu kwa amani!
salam wana jf..
Nimefikwa na msiba wa baba yangu mzazi..
Bwana alitoa
bwana ametwaa.
Amen..
Salam wana JF..
Nimefikwa na Msiba wa Baba yangu Mzazi..
Bwana alitoa
Bwana ametwaa.
Amen..