Taarifa ya Msiba..

Taarifa ya Msiba..

'ndugu zangu mmepewa namba hiyo hapo jamani tumchangieni japo ndugu yetu kwa kumfariji wakuu kutoa ni moyo wakuu,bwana ametoa na bwana ametwaa MUNGU atawalipa kheri nyote,amen'

Nashukuru kwa kunipa Faraja mkuu.
God bless all...
 
Pole sana ndugu.nasi tumefiwa na mchungaji wetu moses kulola so sisi na ninyi tupo kwny majonzi ila ni kazi ya mungu tujifariji hivyo.
 
Nashukuru saana wana JF kwa kua pamoja nami..
Nimemzika salama Mzee,na nimerudi town salama...
Mungu awabariki saana..
 
Back
Top Bottom