Taarifa ya Msiba...!

Japo kuwa wote tulimpenda lakini muumba alimpenda zaidi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
 
Heroes never die because their ideas will live for ever - R.I.P
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema.
Poleni wafiwa.
 
pole sana bro
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
 
Pole sana Freetown kwa msiba mkubwa uliokufika. Mwenyezi Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu kwenu na ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
 
Pole sana kaka yetu kwa kuondokewa na mkeo kipenzi
 
pole sana freetown na familia nzima,mungu awatie nguvu na kuwapa faraja.
 
RIP Marehemu

Pole Freetown, binti zako na familia nzima

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen

PakaJjmmy tunaomba uwakilishi wako kwa niaba yetu tulio mbali na asante kwa taarifa
 
UPDATE 1:
Confirmed Freetown ataondoka leo huko ughaibuni mwendo wa saa 6 usiku ambapo itakuwa ni saa 10.za alfajiri kwa huko anakoishi, na anatarajiwa kuwasili JNIA mwendo wa saa 7.00mchana kwa ndege ya shirika la QATAR AIRWAYS.
 
Pole sana, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na amtie nguvu mwenzetu na familia yake. Amen
 
Innalillah.........rajiuun.
Kuna jamaa zangu kule A-town ntawashauri japo wahudhurie.
member wetu Mungu ampe subira zaidi.
Kila kitu kitaonja kifo.
 
Asee nimeshtuka kusikia habari hi ya kusikitisha! Nampa pole sana Mwenzetu Freetown, Familia yake ndugu na jamaa wote. PJ tupo pamoja na fikisha pole yangu!
Bwana ametoa na bwana ametwa jina la bwana libarikiwe!Amen
 
Pole sana mkuu Freetown na Mungu akupe nguvu wakati huu mgumu.


Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…