Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Ndugu wa JF, Salaam,
Nasikitika kuwafahamisha kuwa wazazi wangu usiku wa kuamkia tarehe 2 May 2011 walivamiwa na majambazi wasiojulikana WAKAWAUA WAZAZI wangu wote kwa kuwachoma visu huko Muganza, Rulenge, Ngara.
Nimasikitiko makubwa sana.
Pole sana.Mungu akutie nguvu.