Taarifa: Usalama Wangu Hatarini


Ni wale walee!.. Wanaowaueni na kuwatesa nyie wanyakyusa!.. Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!... Hivyo si vitisho JIHADHARI!... Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...

Watuhumiwa mpaka leo hawajakamatwa!.. Aliyemuua MWANGOSI anapelekwa mahakamani na gari la kifahari kama mfalme (SI KARANDINGA LA MAGEREZA) na kulindwa na polisi si maafisa magereza!... Hii ndiyo Tanzania yetu NCHI YA AMANI!
 
Mchambuzi nakuelewa vizuri sana......Viongozi wa CCM wa sasa wanadhani kazi ya chama ni kubakia madarakani na sio kuongoza nchi. 2015 wewe na mimi tutafurahi kuwa chama pinzani na kukirejesha chama kwenye maadili kwani wale wanaoamini kazi ya CCM ni kubaki madarakani kwa njia yoyote watakua wamekitelekeza chama na kutafuta namna nyingine ya kuendeleza na kulinda maslahi yao binafsi. Probably baadhi watajaribu kudandia chama tawala kipya.
 
Angalia tarehe yako ya kujiunga JF halafu linganisha na hii;
Au kama anajua kusoma table achungulie na hii;

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
ID​
[/TD]
[TD]
NAKEMEAUDINI
[/TD]
[TD]
Mchambuzi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Posts​
[/TD]
[TD]
I89
[/TD]
[TD]
2,675
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Rep Power​
[/TD]
[TD]
343
[/TD]
[TD]
8,327
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Likes Received​
[/TD]
[TD]
22
[/TD]
[TD]
3,411
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Likes Given
[/TD]
[TD]
22
[/TD]
[TD]
2,593
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Join Date
[/TD]
[TD]
12th February 2013
[/TD]
[TD]
24th August 2007
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kweli huu mwaka 2013 umetuletea balaa humu jamvini!
 
 
Kama wameweza kuua tembo watashindwaje kuua binadamu anaewakera??
Shauri yako,maisha ni haya haya na kila siku ni haya haya..
 
Naomba kutumia nafasi hii kutoa ushauri kwa vijana wetu waliokimbia kutoka kwenye chama cha kidikteta na ki imla kuchukua tahadhari ya maisha yao kwa kuwa wametangaza vita na viongozi wa kiimla wa cdm.
Mtela na Binti yetu shonza tunawategemea muendeleze harakati zenu mkichukua tahadhari hawa jamaa ni hatari wanaweza kutumaliza.
 

Kazi hii inafanywa na nani?!!!!!!... Bila shaka Ni wale wale waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!... Hivyo si vitisho JIHADHARI!... Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...

CHA AJABU Watuhumiwa HUWA hawakamatwi!.. Hata wakikamatwa hupelekwa mahakamani magari ya kifahari kama wafalme (SI MAKARANDINGA YA MAGEREZA) na kulindwa na polisi si maafisa magereza!... Hii ndiyo Tanzania yetu NCHI YA AMANI!
 
Na mimi napokea vitisho kutoka vyombo vya dola sijui nifungue thread yangu na mimi nikombe maujiko?
 

Mkuu huyu MCHAMBUZI aliwahi kujitambulisha kuwa yeye ni mtoto wa Mwambulukutu!... HIVYO NI MNYAKYUSA!.. Hawa ni victim wa uhalifu huu kwa miaka ya karibuni!

Wanauwa na kuteswa na watu walionyuma ya pazia!!!!... Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!.. Waliomtesa KIBANDA,... Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!... Waliomuua MWANGOSI!... waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!... Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!... waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!...
 
sidhani kama atakuelewa,siunajua wengine wana ubongo wa samaki!
 
We mjanja sana hapo kwenye CCM weka Chadema ndo utajua Mwandishi ana maana gani.
Kweli Great Thinkers tuko wachache sana.
Wengi waliochangia ni Mbulura hawajui unalenga nini,wameingia wazima wazima teh teh teh.
 
Pole Mchambuzi ..........intimidations kama hizo hazikosekanagi. Kuwa makini ila baada ya kusema hivi watakupotezea. Badili ID ndelea na kazi

Nakumbuka Mchambuzi aliwahi kujitambulisha kuwa ni mtoto wa mwanasiasa Mwambulukutu!!!!
Sasa angalia madhila yanayowapata wanyakyusa pengine kwa bahati mbaya au ni walengwa!..
Kumbuka waliomtesa ULIMBOKA!..
Waliomtesa KIBANDA,...
Waliomtilia sumu MWAKYEMBE!...
Waliomuua MWANGOSI!...
waliomtenda Prof MARK MWANDOSYA!...
Waliomuua prof JUAN MWAIKUSA!...
waliomuua MWAIKAMBO!... na sasa kazi inaendelea!!!!!!!!...
Hivyo si vitisho AJIHADHARI!...
Lisemwalo lipo kama halipo LAJA!...


 
Pole sana Mkuu wangu Mchambuzi:
Binafsi, maisha ni marefu sana lakini ni mabaya sana...hivyo wakati fulani kifo huwa suluhisho bora. Hata hivyo, kila mwanadamu ana nafasi na wajibu wake kwa jamii yake, kama umeshaicheza vizuri nafasi yako, basi atafutae uhai wako anajisumbua.
HAKUNA HAJA YA KUOGOPA KIFO, KAMA TU TUMESHACHEZA VIZURI NAFASI NA WAJIBU WETU TULIONAO KWA WATU WETU. Hapo sasa inatulazimu kujihami kwa kutopoteza muda hata kidogo katika kucheza nafasi zetu, kwani ni ukweli kuwa WANAHARAMU NI WENGI, wasije wakasitisha uhai wetu kabla nafasi yetu hatujaicheza, kwa uvivu wetu wa kufikiria tu kwamba kesho ipo, TUTAPOTEZA na kufa kama mbwa.
HUU NI WAKATI WA KUZIFANYA FIKRA ZETU HAI, MAANA KIFO KI KARIBU MNO. Tukifanya fikra zetu hai, milele hazitakufa nasi milele tutakumbukwa. Na huko ndio kuishi tena hata baada ya kifo chetu.
Pole sana Mkuu.
Mungu wetu yu tayari kutupigania. Anaita sasa.
 
dah!!! Mchambuzi kaka yangu wanataka wakupoteze kama dagaa kwenye bwawa la kambale sio??
ama kweli atakaye lia ni mama yako.

back 2005 ukumbi wa tume ya jiji, sitokaa nisahau.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu Mchambuzi, Mungu atakulinda na mabaya yote!
Hila zao zitawarudia wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
mhh Bw. Mchambuzi.....I've read your post and have been going through the comments and i'm just dumbfounded! I've never encountered a people with so much love for their country, that i SALUTE YOU guys.
Personaly, i don't think i'll ever die for my country, i'm just too afraid. Labda utasema sina uchungu na wanaoteseka, HAPANA. I feel ashamed that other people have to be 'sacrifices' for my sake.
For those like you interested in politics, i know without raising your voices there will be no change for all of us. But your life, Bw. Mchambuzi, is too precious. Isn't there a way you could help our country without necessarily putting your life in danger?
Is staying in CCM the only way to bring changes? Sishabikii uhamie chama chochote (alothough, HONESTLY, i'm definatlely not a 'fan' of CCM anymore), but weighing the price you have to pay and what you can do, DO YOU REALY NEED TO STAY IN CCM?? 🙁 🙁. Just my thoughts
 
Mnataka mabadiliko ndani ya ccm? Fukuzeni kwanza Kikwete na familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…