Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
mpaka uambiwe?bebii elewa kuna mbumbu wengi sana hapa,sijui kwa wewe unapimaje,,lakini kuna member mmoja alituambia unaweza kumsoma mtu between lines,
Wengine tunasoma btn sylabi mbona!
mpaka uambiwe?bebii elewa kuna mbumbu wengi sana hapa,sijui kwa wewe unapimaje,,lakini kuna member mmoja alituambia unaweza kumsoma mtu between lines,
Innovator, hebu angalia na hili......................
Issue sio kwenye posts tu, bali kuna wengine katika kuchangia hoja mbalimbali hapa......
wanageuza tena na kuwa chat room hapa.................
Sasa badala ya kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali wa mada inayotolewa............
uwanja unakuwa wa kuchat mpaka inaboa....................
sijasema ni mbaya wingi wake kwa siku zaidi ya 13 jamani? Mnaona ni sawa? Kwani kuna ulazima gani hadi azilete kwa siku moja jamaniiii?
Mkuu punguza jazba,waelekeze wakuu sio kutumia lugha za dhihakaahahahaaaaaaaaaaaaaaa!...sasa umeingiaje sehemu usiyoijua mkuu
labda ni post master wa jf.. Mimi nimekaa kuchangia zaidi sio lazima wote tupost sio sifa kupost nadhani member mzuri zaidi ni anayechangia topic mkuulabda yeye ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuleta post kuliko wewe hatuoni post yako yoyote ile
labda ni post master wa jf.. Mimi nimekaa kuchangia zaidi sio lazima wote tupost sio sifa kupost nadhani member mzuri zaidi ni anayechangia topic mkuu
ila kwa siku member mmoja na post zaidi ya 13, tena jukwaa hilohilo sikubali khaaa? Eti mod innovator hii imekaaje member kwa siku atoe post ngapi maximum?mkuu umeongea point sana,sasa wote tukisubiri kuchangia nani ataleta post??nafikiri wenye uwezo wa kujenga na kupangilia post zao tuwapongeze
mmaaribu jukwaaKutokana na hali ambayo imekuwa ikiendelea humu kwenye Jukwaa la MMU kwa muda mrefu napenda kuwafahamisha members wote kuwa kuanzia sasa thread zote ambazo zitakuwa posted hapa MMU zitakuwa under MODERATION kabla hazijawa approved tumeamua kufanya hivi kwa sababu kumekuwa na mlolongo wa TOPIC zisizokuwa na maana yoyote au TOPIC ambazo kimsingi hazina mantiki yoyote ndani ya Jukwaa hili.
Halikuwa lengo letu kufanya hivi ila kwasababu hali hii imeendelea kwa muda mrefu bila watu kujirekebisha hivyo basi tumeona itakuwa ni busara tukaliweka Jukwaa hili under MODERATION kama tulivyofanya kwenye Jukwaa la Siasa, topic ambazo tunaona zinafaa kukaa hapa zitawekwa hapa na ambazo tutaona hapa sio mahala pake zitahamishwa na kupelekwa Jukwaa husika. Lengo hasa ni kufanya maboresho kwenye Jukwaa hili na kuiweka JF katika hatua nyingine tofauti na sasa hivyo tunaomba sana ushirikiano wenu.
Poleni kwa usumbufu, na wale ambao watakwazika tunawataka radhi.
ila kwa siku member mmoja na post zaidi ya 13, tena jukwaa hilohilo sikubali khaaa? Eti mod innovator hii imekaaje member kwa siku atoe post ngapi maximum?
wanataka kutuamulia kipi cha kusema na kisemwejenavojua hili ni jukwaa huru we have equal rights here? Kila mtu hapa ana uwezo wa kuelewa hamna mbumbumbu hapa
zimenichosha yaani ni kama assigment unapewa na mwalimu sasa zimezidi si unajua kuchangia unatumia akili mkuu sasa zikizidi unashindwa cha kusema huwa nabaki kimya tu unakuta kachangiwa page mbili kwisha na member tupo kibao na topic ilikuwa tu nzuri .vipi hizo post ulivyosoma ulizielewa??zina maana??au labda hukuweza kuzielewa?
zimenichosha yaani ni kama assigment unapewa na mwalimu sasa zimezidi si unajua kuchangia unatumia akili mkuu sasa zikizidi unashindwa cha kusema huwa nabaki kimya tu unakuta kachangiwa page mbili kwisha na member tupo kibao na topic ilikuwa tu nzuri .
nafikiri ni jambo la busara kuchekecha kwanza post
kuna post zinakuja humu za kitoto au tuseme za kipuuzi sana
mtu anakuja na posty inasema huyu dada anahitaji msaada kaliwa sana tigo sasa amepata mchumba afanyeje??
hivi jamani kama kuna nchi wanajua kiswahili halafu wakaingia jf na kuchungulia na kukutana na post kama hiyo atatuhesabu vipi sisi wabongo??
acheni upuuzi
Innovator, hebu angalia na hili......................
Issue sio kwenye posts tu, bali kuna wengine katika kuchangia hoja mbalimbali hapa......
wanageuza tena na kuwa chat room hapa.................
Sasa badala ya kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali wa mada inayotolewa............
uwanja unakuwa wa kuchat mpaka inaboa....................
Nafikiri sometimes chit chat muhimu kwenye MMU ili mradi zisiwe too much. Kama hamjui hizi chit chat ndio zinazoweka hili jukwaa live. By the way hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki. We're not always in this forum for hard talk. Too much hard talk inaharibu mahusiano, mapenzi and urafiki which are the cornerstone of this forum.
EMT
@Blue!! LoL!!!
Never tought of that Sir ...! Kumbe ndio maana mambo ya mahusiano hayaendiii loh sikujuaaa ... there is great need to jion MMU soon!! Lol!