Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
kwa hiyo uanataka kuniambia aiondoe hapa!!!!!!!........mmmmmhhhhhhhhhh
Aiondoe upesi.
kwa hiyo uanataka kuniambia aiondoe hapa!!!!!!!........mmmmmhhhhhhhhhh
hahahahahaaa!Acha umbea ..jibu swali hata mimi sijui mara mmu mara mou
kuna mtu aheshimiki hapa? Fafanua
Innovator, hebu angalia na hili......................
Issue sio kwenye posts tu, bali kuna wengine katika kuchangia hoja mbalimbali hapa......
wanageuza tena na kuwa chat room hapa.................
Sasa badala ya kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali wa mada inayotolewa............
uwanja unakuwa wa kuchat mpaka inaboa....................
navojua hili ni jukwaa huru we have equal rights here? Kila mtu hapa ana uwezo wa kuelewa hamna mbumbumbu hapainategemea na uwezo wako wa kuelewa na comment zako zikoje
ahahahaaaaaaaaaaaaaaa!...sasa umeingiaje sehemu usiyoijua mkuuacha umbea ..jibu swali hata mimi sijui mara mmu mara mou..
unajuaje kama kila mtu ana uwezo wa kuelewa?<b>navojua hili ni jukwaa huru we have equal rights here? Kila mtu hapa ana uwezo wa kuelewa hamna mbumbumbu hapa</b>
navojua hili ni jukwaa huru we have equal rights here? Kila mtu hapa ana uwezo wa kuelewa hamna mbumbumbu hapa
mkuu nahitaji kujua, sina nia mbaya!
Sitaki kuwa kenge kwenye msafara wa mamba bana!
sijasema ni mbaya wingi wake kwa siku zaidi ya 13 jamani? Mnaona ni sawa? Kwani kuna ulazima gani hadi azilete kwa siku moja jamaniiii?unajuaje kama kila mtu ana uwezo wa kuelewa?
Kama uwezo unao mbona umeshindwa kuelewa threads za pdidy mpaka unazilalamikia?
Au uwezo mushkeli!
Tunashukuru sana mkuu tunafanyia kazi maoni yoteInnovator, hebu angalia na hili......................
Issue sio kwenye posts tu, bali kuna wengine katika kuchangia hoja mbalimbali hapa......
wanageuza tena na kuwa chat room hapa.................
Sasa badala ya kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali wa mada inayotolewa............
uwanja unakuwa wa kuchat mpaka inaboa....................
choo cha kike!! nambie bana what does it mean? maana JF kwa abreviation ni noma..
mwita anasema leo ni SPECIAL DAY OF HIM!!
mi sikujua kuwa nae kazaliwa, nilijua kaokotwa kwenye oxidation ponds!
Back to mou!
There you go!Mnataka ku-moderate topic zisizo na maana? Mi nilidhani topic isyo na maana inajifia yenyewwe baada ya muda mfupi tu! Kwa nini mpoteze muda kui-moderate?
Asante kwa ushauri wako mkuu tutaufanyia kaziTatizo mnachelewa sana kumoderate na ku publish hizo threads. Kama jukwaa la siasa unatuma thread inachukua almost an hour kabla ya kuwa published. Hata kama habari ilikuwa ya moto, moto unakuwa umeshazima wakati mnaipublish. Hii move ya kumoderate threads kabla ya kuwa published inaweza ika backfire. Watu watakata tamaa ya kuanzisha threads. Kwa nini mmeshindwa ku moderate threads kila zinapoanzishwa? Watu wamelalamika sana ile thread ya ajali ya meli Zanzibar ilichelewa kuwa published. Labda muwe manapublish a thread within 5 minutes from the time it was submitted. Kumbuka watu wengine wanaandika thread on the move or thread ya breaking news. Then anata kutoa updates za habari husika anakuta bado thread haijawa published.