Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
''Shirika la reli linaendelea kufuatilia kwa ukaribu, kufahamu chanzo cha ajali ili kuchukua hatua"
SASA NAJIULIZA KWANI HAKUKUWA NA UKAGUZI WA MAFUNDI/WAHANDISI KABLA YA CHOMBO KUANZA SAFARI? (Pre-Inspection)... maana hata kwa picha inaonekana body imechakaa na baadhi ya vyuma na chasis vimebaki kwenye reli...
Tukisema ni uzembe wenu tutakuwa tumekosea au ndio mtatuita wachochezi? Mtarudisha uhai wa waliopotea kwa uzembe wenu?
Mh. Rais anafanya kazi lakini watendaji wake mnamkwamisha..
SASA NAJIULIZA KWANI HAKUKUWA NA UKAGUZI WA MAFUNDI/WAHANDISI KABLA YA CHOMBO KUANZA SAFARI? (Pre-Inspection)... maana hata kwa picha inaonekana body imechakaa na baadhi ya vyuma na chasis vimebaki kwenye reli...
Tukisema ni uzembe wenu tutakuwa tumekosea au ndio mtatuita wachochezi? Mtarudisha uhai wa waliopotea kwa uzembe wenu?
Mh. Rais anafanya kazi lakini watendaji wake mnamkwamisha..