pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Poleni
Sgr Ni standard gauge Ni wide na much stable kuliko hiyo narrow gauge ya mjerumani!Kwa mwendo huu sijui la umeme litakuaje.
Naona kama wewe na ukoo wenu hamtapanda hiyo SGR kwahiyo hamtakuwa na shida ya majeneza.SGR ikianza mkifanya michezo hii mtazika hadi mtakosa majeneza.
Acha ujuaji wa kijinga basi hiikila siku ndio usafiri wanguAcha uongo.
Hiyo treni ya Mwakyembe haifanyi kazi zaidi ya mwaka sasa.
Kama upo huko nanguruwe usilete ubishi wa mwaka jana na uzuri kwa muda wa kama lisaa limoja nimeshuka hapa mwananchi na hapa nitaisubiri nikupigie na picha kabisa uione.Acha uongo.
Hiyo treni ya Mwakyembe haifanyi kazi zaidi ya mwaka sasa.
Aiseeeee !!!Tuweke Record ndogo hapa kwaajili ya kumbukumbu.
Tarehe 22Machi 2020.
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania TRC walifariki kwa ajali ya treni ya uokoaji iliyogongana na Kiberenge Na. HDT-3 katika eneo lililopo kati ya Stesheni ya Mwakinyumbi na Gendagenda katika reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction.
Tarehe 2 Januari 2021 Majeruhi ni 66 na waliopoteza maisha ni watatu (3),
Ilitokea kati ya kigwe na Bahi
Tarehe 22 July 2021
Gode gode,Kidete mkoani Morogoro ilisababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine 21
16 January,2022 Majeruhi watano na kifo cha Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba.Ilitokea kati ya Mkalamo na Mvave Wilaya ya Pangani,Mkoan Tanga.
leo Jumatano Juni 22,2022 katika eneo la Kata ya Malolo iliyopo katika manispaa ya Tabora.
(Majeruhi na vifo bado wanahesabiwa)
Ajali ya dodoma
24 June 2002.
Iliua mamia inakumbukwa na wengi mpk leo.
Japo Safari sio kifo lkn mm bimafsi kwa nchi yetu kuna la kujifunza juu ya tarehe na miezi ktk kusafiri.
Haswa hii rail ya kati.
Ile ya Tazara haina matukio mengi kama rail ya kati.
Kilosa-Kidete?Afadhali wa kilosa mkuu kuna ule wa Msagali na Mzaganza Mpwapwa