Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

Wote tumesikia hizi habari,na kikubwa wanachosema kuna sherehe za chief wa huko butiama so,nilazima sherehe zimalizike kwanza ndipo waweze kuzitangaza rasmi hizi habari
Mungu ibariki tanzania

Siyo kweli jamani.Huyo mama alienda lini BUTIAMA wakati jana alikuwa kwenye MISA ya asubuhi kanisani?Wengine tumemuona kwa macho yetu yu mzima buheri wa afya njema.
 
mods hebu futeni huu uzi mpaka tupate habari za uhakika . Hii haikubaliki hata kidogo

Mods fanyeni kazi yenu haraka. Hizi ni tetezi za jambo zito mno.

Fungeni thread au thibitisheni.

Hahaha ngoja na wewe uwe miongoni mwa watu waliopigwa ban, unawafundisha mods kufanya kazi yao....angalia majina ya watu waliopigwa ban kwenye hii thred....
 
evn me nimeckia mchana huuu,,dah lt us wait tme wl tel if the rumors are true o not
 
Habari ni za uongo. Lakini. I was just a hair's breath away from making the announcememt to the media kwamba. Mama. Maria. Nyerere amefariki.
 
Chanzo cha hizi taarifa nini? Kwani anaumwa au kuna lingine?
 
Habari ni za uongo. Lakini. I was just a hair's breath away from making the announcememt to the media kwamba. Mama. Maria. Nyerere amefariki.

Huajaeleweka Andrew,unakanusha au unakubali???
 
ni kweli kabisa zile taarifa zilikuwa za uzushi Mama Maria nyerere ni mzma wa afya familia yake imesikitishwa sana na taarifa za uzushi zilizosambazwa haraka kwenye mitandao hasa JF,magroup ya whats app na twiter .
 
Tumwombee Ashuhudie Mabadiliko Mwezi Wa Kumi, Ili Hata Akiondoka Akamwadisie Mwalim Huko Kwamba Chama Ulichokitabiria Kuchukua Inchi Kimeshakua,sasa Watanzania Wako Salama.
 
Watu wanamzushia Mama Maria KIFO kwa kuwa tu ...hajaenda Butiama kushiriki shughuli ya Mzee wa Mtama ...aliyo lobby apate ugeni Rasmi ....
Usituulie Mama yetu kwa kuwa unezoea ...

Huyo ...Gothan ...akumbuke fadhila Za Huyu mama ...na ugali wake aliokula ...hadi watu wao kuja kumzushia kisa tu hajawa Butiama na memb Leo
 
Nawapongeza moderator kwa kulima vichwa vyote vilivyo okoteza habari za kizushi huko whatsapp na facebook bila hata chembe ya uthibitisho na kuleta hapa! Safi sana mods kwa kazi nzuri.
 
Hahaha ngoja na wewe uwe miongoni mwa watu waliopigwa ban, unawafundisha mods kufanya kazi yao....angalia majina ya watu waliopigwa ban kwenye hii thred....

Teh Teh mods wamenifurahisha wamekula vichwa vyote vilivyo okoteza habari na kuzileta hapa!

Watu lazima wajue kuwa si kila habari ni ya kuandika kama hakuna uthibitisho!
 
Alipokufa komba mlisema kuwa ni uzushi. Sasa leteni uzushi mwingine..
 
Taarifa nilizopata ni kuwa, TISS walibuni ujinga huu ili kuwapoteza wananchi waache kujadili issue ya Dr. Slaa kutaka kuuawa na TISS kwa kushirikiana na CCM.

Shame on you TISS
 
Back
Top Bottom