Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,468
Bado hujaelewa?. Katika sherehe leo,. Manyerere. Jackton alikuwa. M. C. Nikamwambia. Mama. Maria. Nyerere amefariki,waambie watu kuna tangazo,nataka kutoa tangazo. Manyerere akasema ok. Kwa hiyo nikawa nasubiri kutoa tangazo. Baadaye akarudi akasema amefanya double checking,zile habari ni za uongo. Akasema yeye.,. Manyerere ameongea na. Anna. Nyerere akaambiwa hizo habari siyo kweli. Akasema. Magige,mtoto wa pili wa. Mwalimu. Nyerere,ameongea na. Mama. Maria kwa simu,kwa hiyo habari hizo sio za kweli. That is the whole stnry of what happenned today.